LIFE PAIN GAIN
Member
- Oct 25, 2021
- 98
- 98
- Thread starter
- #21
Hii mishe kwa arusha italipa kweli..??Sure mkuu ...Kuna muhindi mmoja anaitwa Hozeifa mtaa wa swahili K.koo yeye ana deal ya door accessories zote na anapiga hela mnoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mishe kwa arusha italipa kweli..??Sure mkuu ...Kuna muhindi mmoja anaitwa Hozeifa mtaa wa swahili K.koo yeye ana deal ya door accessories zote na anapiga hela mnoo
Ukiweza kuwa na vitu vyote vya mlango ..yan mteja akija dukani apate kwa urahisi ..lazima ikulipe ...Hii mishe kwa arusha italipa kweli..??
GreatUkiweza kuwa na vitu vyote vya mlango ..yan mteja akija dukani apate kwa urahisi ..lazima ikulipe ...
Au kama vipi tafuta ma supplier wakubwa dsm .... wewe uanze kama wakala
Boss ushawahi Fanya biashara ya kufuli ,samahaniTrust me, utatengeneza pesa sana, hakikisha tu una deal na mlango wote, accessories za mlango zote.
√ Vitasa vya milango ya mbao na mageti, kuanzia low quality to the highest quality.
√ Makomeo yote ya sizes zote
√ Bawaba sizes zote, Bawaba za milango ya mbao na zile za mageti...uwe na za kichina na hizi za Sido/Tanzania.
√Tairi za mageti sizes zote na rollers zake.
√ Kufuli sizes zote na ubora wote.
√ Uza pia discs za kukatia chuma na kunolea chuma.
Kuna kipindi nilifanya, ila sio kufuli kama kufuli mkuu(ilikuwa mini hardware). Ukiwa na mtaji mdogo ni risk kuwekeza kwa kitu kimoja tu.Boss ushawahi Fanya biashara ya kufuli ,samahani
Mimi nafanyaga ,sema sijui machimbo yakupata mzigo kwa bei nzuri sana ,na mtaji nao unanisumbua sana....ni mdogo.Kuna kipindi nilifanya, ila sio kufuli kama kufuli mkuu(ilikuwa mini hardware). Ukiwa na mtaji mdogo ni risk kuwekeza kwa kitu kimoja tu.
Uko mkoa gani mkuu?Mimi nafanyaga ,sema sijui machimbo yakupata mzigo kwa bei nzuri sana ,na mtaji nao unanisumbua sana....ni mdogo.
Dodoma,, nataka machimbo kwa darUko mkoa gani mkuu?