USHAURI: Nafikiria kufungua duka la Vitasa tu Arusha mjini

Boss ushawahi Fanya biashara ya kufuli ,samahani
 
Boss ushawahi Fanya biashara ya kufuli ,samahani
Kuna kipindi nilifanya, ila sio kufuli kama kufuli mkuu(ilikuwa mini hardware). Ukiwa na mtaji mdogo ni risk kuwekeza kwa kitu kimoja tu.
 
Kanyaga twende kiongozi piga KAZI.


KAZI ni kipimo cha UTU!!
 
We angalia biashara kubwa zilizofika mbali Wana bidhaa ngapi madukani kwao
Siku hata mabucha hawauzi nyama ya ng'ombe tu bali utakuta mbuzi, samaki, kuku na hata pweza
Bidhaa moja tu labda mahindi ya kuchoma
 
Kuna kipindi nilifanya, ila sio kufuli kama kufuli mkuu(ilikuwa mini hardware). Ukiwa na mtaji mdogo ni risk kuwekeza kwa kitu kimoja tu.
Mimi nafanyaga ,sema sijui machimbo yakupata mzigo kwa bei nzuri sana ,na mtaji nao unanisumbua sana....ni mdogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…