USHAURI: Nahisi nimerogwa

Nafsi yako inatumika sehemu.kuna madhabu ya kishetani mwilini mwako suluhu ni kanisani upo mkoa gani kuna roho inakufwatilia
 
Unavuta bhangi? Sema ukweli wako.
Sipo makundi yoyote, na mshikaj din mzuri tu..
 
Hao wanaokutaja kwenye matukio mnakuwa mnafahamiana kabla hawajafanya matukio?
Kiujumla tukuo la Kwanza alie nitaja namfahamu, lapili niliitwa tu na walimu.. Lkn hili la tatu nimestaajabu sana mtuhumumiwa ananitaja tena mbele yangu anakiri waz ku husika na Tukio na mm eti ndio mshirika wake.. Sura yake ni mara ya kwanza naiona
 
Nime ku dm
Changomoto kama hizo wewe siyo wa kwanza nimejifunza mambo mengi kwenye dunia hii hilo ni pepo la kukuchafua ili ukose amani.sasa ntakulushia namba ya mtumishi wa mungu utamweleza hiyo shida .tambua hiyo ni vita ya gizani japo **** watu watakukebehi
 
Changomoto kama hizo wewe siyo wa kwanza nimejifunza mambo mengi kwenye dunia hii hilo ni pepo la kukuchafua ili ukose amani.sasa ntakulushia namba ya mtumishi wa mungu utamweleza hiyo shida .tambua hiyo ni vita ya gizani japo **** watu watakukebehi
Amina mkuu nashukuru sana
 
Ndio mkuu nahitaji msaada wa haraka
Punguza upweke

Usishiriki tendo ndoa na wadada tofauti tofauti

Usiwe msiri sana

Usiwe na tamaa

Mwisho kabisaaa usijidhuru wala kujiwazia mabaya Mdogo wangu


NB:Hiyo ya nne ina uhusiano mkubwa na maoni ya wadau ya "copy" yako kutoka na kwenda kufanya uharibifu
 
Nashukuru dada yangu kwa USHAURI. Ntatendea kazi haraka
 

Nakazia👆
 
pole sana kwa yanayo kusibu lakini cha msingi jaribu kuangalia maisha unayoishi na wanaokuzunguka pia jitazame wewe makundi unayoambatana nayo, je yanakustahiki?
 

Nimecheka mnoooo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]aiseee mkuu umewaza nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…