abdulazizi4172
Member
- Jun 29, 2022
- 16
- 11
#huyo ndo copy yake au?nenda kwa mwamposa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
#huyo ndo copy yake au?nenda kwa mwamposa
akaombewe#huyo ndo copy yake au?
Ngoja na mimi nikakushtaki kwenye mizimu ya babu zangu. Sijawahi kufeli kwenye hili. Utapeli kwetu ni mwikoShikamoni wakubwa zangu
Mimi ni kijana wa miaka 22, nimekuja mbele yenu kuomba USHAURI kwa haya yanayo ni kumba Katka maisha yangu hasa ya kielimu maana Nahisi Nimerogwa[emoji58] kuna matukio kadhaa yamejitokeza katika harakat zangu za kielimu mpaka Nahisi Nimerogwa. Kuna matukio matatu ambayo mpaka Sasa sielew nimeikuta nimekata tamaa
Tukio la Kwanza nikiwa primary miaka kadhaa iliyopita, shule nilikuwa nasoma ya private iliungua ktk uchunguzi wa walimu katika Tukio Hilo Walifanikiwa kumtambua mtuhumiwa mmoja ambae Katika mahojiano zaidi alinitaja mimi kama mhusika wa tukio hilo ili hali kwamba mimi sikuhusika kwa namna yoyote ile[emoji17] nilijaribu kujitetea lkn wapi, mwisho wa siku nilitimuliwa shule ile
Tukio la pili nikiwa advance shule fulani Kanda ya ziwa, kuna Tukio la kihalifu lilifanywa na baadhi ya wanafunzi hapo shuleni, ambapo wanafunzi walivunja kufuli za locker za wanafunzi wenzao kipindi wanafunzi wengine tukiwa prepo. Lkni baada ya uchunguzi walifanikiwa kutaja wahusika chakushangaza mimi pia nilitajwa na walimu kama mhusika, Aisee nilishangaa sana maana sikuhusika kwa namna yoyote na tukio Hilo. Utetezi wangu haukusaidia mimi kupewa suspension kuanzia mwezi wa 11 mpaka necta hii ilipelekea kufeli mitihani ya kidato cha sita.
Tukio la tatu, ni KIPINDI hichi nikiwa mwanachuo katika chuo cha diploma kada ya afya kozi medical laboratory. Kuna uhalifu umefanyika kwenye hostel za wanafunzi kuibiwa simu na pc. Ijapokuwa mimi nakaa nje ya chuo, lkn kuna mhalifu alikamatwa ambae si mwanachuo ni raia wa mtaani tu hivyo alivyokamatwa ktk mahojiano na Polisi alinitaja mm kwa majina kwamba ndie nimekuwa namsaidia kufanikisha uhalifu huo chuoni. Ilipelekea mm kukamatwa na kuwekwa lockup ilhali mimi sihusiki kabisa na nilitajihidi kujitetea hakuna anayenielewa. Sasa kesi yangu ipo kwenye bodi ya chuo nasubiri maamuzi tu. Na sjui kama nitafanya mitihani ya end of semister2
Nimekuja mbele yenu kuomba USHAURI juu ya haya matukio yanayonikumba maana nahisi kurogwa najiona sina thamani ya kuendelea kuwepo duniani.
Karibuni wakubwa zangu mnishauri nifanyaje mbona mimi tu!!
😂😂Ngoja na mimi nikakushtaki kwenye mizimu ya babu zangu. Sijawahi kufeli kwenye hili. Utapeli kwetu ni mwiko