Delacruzito
Senior Member
- Aug 5, 2019
- 123
- 141
Habari zenu wana JF
Poleni sana na Swaumu naimani tunaendelea na Mfungo Mtukufu wa Ramadhani
Ndugu zangu nina miaka 25 Mzee wangu ana Uwaraza kwa Mbele hapa ule wanauita Upara wa Pesa. Sasa naona kama nimerithi kwake na maana nywele zangu za hapa Mbele zinakatika zinakua fupi kuliko nyingine halafu nikijiamgalia kwenye kioo naanza kuona ile Ngozi za kichwa kwa mbali.
So, wanadugu jamani kwa yeyete mwenye anajua dawa ya kutibu upara au uwaraza kwa njia yeyote ile iwe ni kwa kutumia dawa za asili ama kama kuna mafuta ya kununua ya kupaka please naombeni mnisaidie[emoji1488][emoji1488]
Poleni sana na Swaumu naimani tunaendelea na Mfungo Mtukufu wa Ramadhani
Ndugu zangu nina miaka 25 Mzee wangu ana Uwaraza kwa Mbele hapa ule wanauita Upara wa Pesa. Sasa naona kama nimerithi kwake na maana nywele zangu za hapa Mbele zinakatika zinakua fupi kuliko nyingine halafu nikijiamgalia kwenye kioo naanza kuona ile Ngozi za kichwa kwa mbali.
So, wanadugu jamani kwa yeyete mwenye anajua dawa ya kutibu upara au uwaraza kwa njia yeyote ile iwe ni kwa kutumia dawa za asili ama kama kuna mafuta ya kununua ya kupaka please naombeni mnisaidie[emoji1488][emoji1488]