Ushauri: Nalazimishwa kulipa kodi kubwa kuliko mauzo yangu.

Ushauri: Nalazimishwa kulipa kodi kubwa kuliko mauzo yangu.

Mm ndio mana sitaki kulipa kodi wala leseni nkikutana nao nawappoza tu naendlea na kazi sitaki utani

Sent using Jamii Forums mobile app
Sitarajii kukuon kesho ukilalamika kwamba hupati huduma ya afya nzuri,hupati/ndugu,jamaa,rafiki au hata mtoto wako hapati elimu nzuri, pia sheria za biashara c rafiki kwako kwa maan io ww pia n moja ya visabish vya kuwapo kwa vitu kama ivyo
 
Yap ndio unatakiwa kumlipa hawez akakufanyia bure nazani once ukiamua kuwa kwnye biashara ao ndo watu wa muim kuwa karbu nao itakup urahc, pia itakufngua kweny mambo meng ambayo huyajui

Infact nina bro ambae n kama rafk kwang na n mwanasheria niktaka msaad kwny certain staff ananfanyia kwa as little as 30k Tsh

Itamsidia nini kumlipa mhasibu amount (ambayo hata iwe chini kiasi gani) itakuwa almost sawa na kodi anayodaiwa? My point is: kwa biashara hiyo aliyoitaja hana transactions za kutosha ku-justify proper financial management system na accounting services.
 
Itamsidia nini kumlipa mhasibu amount (ambayo hata iwe chini kiasi gani) itakuwa almost sawa na kodi anayodaiwa? My point is: kwa biashara hiyo aliyoitaja hana transactions za kutosha ku-justify proper financial management system na accounting services.
But inakuwa vzuri pia kuwa nae karbu tu kwa ushauri maana kama alivoongea mauzo yake hayafiki million 5 kwa mwaka na sheria inasema kama mauzo yako hayazidi millioni 4 hutakiwi kulipa kodi kabsa sas cjajua kama yey mauzo yake yanzid au hayazid million 4
 
Hebu tusaidie elimu mkuu japo uliemjibu ni mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mm navojua sheria inavosema TRA anamamlak ya kukadilia kodi utakayo lipa endapo tu mauzo yako hayazidi millioni 20 kwa mwaka kwa maana io yakizidi hapo inakuwa kinyume ww ndo unakadilia utalipa kiasi gani kwa mwaka husika na kama tunavyojua kodi ya mapato kisheria ni 30% ila utakavo kuwa unajikadilia icpungue kwa 25%(kama c kosei) na pia ukifika huko kodi inakatwa kwa kuangalia faida gani umefanya/utafanya tofauti na wenye mauzo chini ya millioni 20 wanakatwa kuendana na mauzo sio faida.. pia kama mauzo yako ni zaidi ya millioni 20 ila faida yako c zaid ya millioni 1.8 - millioni 2 hulipi kodi kabsa ila ikiwa faida tako ni millioni 2 hadi 5 (nazani) unalipa kwa 9% koo kwa mazingira aliyo yasema huyo inakuwa tabu kuelewa alkuwa kwenye kundi lipi napenyew ukiangalia vzuri hamna sehem kufikia hapo ambayo itakwambia unatakiwa kulipa million 2 as kodi annually
 
Kwa mm navojua sheria inavosema TRA anamamlak ya kukadilia kodi utakayo lipa endapo tu mauzo yako hayazidi millioni 20 kwa mwaka kwa maana io yakizidi hapo inakuwa kinyume ww ndo unakadilia utalipa kiasi gani kwa mwaka husika na kama tunavyojua kodi ya mapato kisheria ni 30% ila utakavo kuwa unajikadilia icpungue kwa 25%(kama c kosei) na pia ukifika huko kodi inakatwa kwa kuangalia faida gani umefanya/utafanya tofauti na wenye mauzo chini ya millioni 20 wanakatwa kuendana na mauzo sio faida.. pia kama mauzo yako ni zaidi ya millioni 20 ila faida yako c zaid ya millioni 1.8 - millioni 2 hulipi kodi kabsa ila ikiwa faida tako ni millioni 2 hadi 5 (nazani) unalipa kwa 9% koo kwa mazingira aliyo yasema huyo inakuwa tabu kuelewa alkuwa kwenye kundi lipi napenyew ukiangalia vzuri hamna sehem kufikia hapo ambayo itakwambia unatakiwa kulipa million 2 as kodi annually
Mkuu hizo sheria zipo na sio kama hao TRA hawazijui wanazijua sana
Mimi nilicho ambiwa kwa kuwa biashara yangu ipo kariakoo basi kodi ni 2m haijalishi msingi shs ngapi na wala nauza shs ngapi

Na kingine ambacho nilishangaa zaidi robo ya hiyo kodi nilitakiwa nilipe kabla biashara yenyewe haijaanza

Sasa wewe jiulize wao wamesoma kitabu gani kinachoelekeza mtu alipe kodi kabla hajafanya mauzo maana nichojua Mimi mtu analipa kodi baada ya kuuza na hiyo pesa nililipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom