Cyphers Richardson
Member
- Oct 24, 2019
- 13
- 9
Kwema humu ndani?
Ningependa kupata ushauri/ namna ya kufanikiwa maishani kama kijana. Kwa ufupi mimi nina miaka 21, ni mwajiriwa sehemu fulani. Pia, nina mpango wa kuanzisha miradi yangu kufikia February 2020. Nina uwezo wa kutengeneza mpaka laki moja na elfu hamsini (150,000) kwa mwezi tofauti na mshahara wangu ila ninajikuta nashawishika kufanya starehe kama kwenda club every weekend. Natumia Mpaka laki moja kwa Ijumaa na Jumamosi na baada ya hapo Najuta why nisinge-save nifanye mambo mengine.
Kama mdogo wenu, naombeni mnisaidie. Pia, agemates mnisaidie kwa ushauri.
NB: Nina elimu ya kilimo na mifugo pia.
Ningependa kupata ushauri/ namna ya kufanikiwa maishani kama kijana. Kwa ufupi mimi nina miaka 21, ni mwajiriwa sehemu fulani. Pia, nina mpango wa kuanzisha miradi yangu kufikia February 2020. Nina uwezo wa kutengeneza mpaka laki moja na elfu hamsini (150,000) kwa mwezi tofauti na mshahara wangu ila ninajikuta nashawishika kufanya starehe kama kwenda club every weekend. Natumia Mpaka laki moja kwa Ijumaa na Jumamosi na baada ya hapo Najuta why nisinge-save nifanye mambo mengine.
Kama mdogo wenu, naombeni mnisaidie. Pia, agemates mnisaidie kwa ushauri.
NB: Nina elimu ya kilimo na mifugo pia.