BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 917
- 2,217
1.Acha anasa
2.punguza commitment yako kwenye mapenzi
3.Focus kwenye kufanikiwa
4.Kuwa na Roho Ngumu
5.Kuwa na Roho Mbaya
Kuwa na roho ngum namaansha uweze kufanya maamuz magum...hata kama wajua yatawakera watu wako wa karibu
Kuwa na roho mbaya namaanisha sio kila unachoombwa utoe...na kama ukitoa icwe kwa mda huo...!!na pia isiwe kwa kiasi kinachotakiwa
Ukiendekeza saana misaada...huruma...na commitment kwa watu wengine katika safari yako ya mafanikio....daima hutaifikia...!!sisemi usisaidie ndugu....saidia lakn kuwa na mipaka kwenye msaada wako
2.punguza commitment yako kwenye mapenzi
3.Focus kwenye kufanikiwa
4.Kuwa na Roho Ngumu
5.Kuwa na Roho Mbaya
Kuwa na roho ngum namaansha uweze kufanya maamuz magum...hata kama wajua yatawakera watu wako wa karibu
Kuwa na roho mbaya namaanisha sio kila unachoombwa utoe...na kama ukitoa icwe kwa mda huo...!!na pia isiwe kwa kiasi kinachotakiwa
Ukiendekeza saana misaada...huruma...na commitment kwa watu wengine katika safari yako ya mafanikio....daima hutaifikia...!!sisemi usisaidie ndugu....saidia lakn kuwa na mipaka kwenye msaada wako