BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 917
- 2,217
Jinsi ulivyoiwakilisha hii mada mkuu naona unajielewa sana(mtazamo wangu). Starehe unazozifanya zinachangiwa sana na umri wako hivyo unahitaji kujicontrol sana. Usijibane sana kwani kama kijana kuna mambo unatakiwa kuyafanya ila kuwa na kiasi. Tambua kwamba kuna mambo ukiyaendekeza yatazima ndoto zako zote mkuu,hivyo kuwa makini sana. Jifunze sana kusave na jinsi ya kujiongezea kipato kupitia njia mbali mbali.Kwema humu ndani?
Ningependa kupata ushauri/ namna ya kufanikiwa maishani kama kijana. Kwa ufupi mimi nina miaka 21, ni mwajiriwa sehemu fulani. Pia, nina mpango wa kuanzisha miradi yangu kufikia February 2020. Nina uwezo wa kutengeneza mpaka laki moja na elfu hamsini (150,000) kwa mwezi tofauti na mshahara wangu ila ninajikuta nashawishika kufanya starehe kama kwenda club every weekend. Natumia Mpaka laki moja kwa Ijumaa na Jumamosi na baada ya hapo Najuta why nisinge-save nifanye mambo mengine.
Kama mdogo wenu, naombeni mnisaidie. Pia, agemates mnisaidie kwa ushauri.
NB: Nina elimu ya kilimo na mifugo pia.
πππJinsi ulivyoiwakilisha hii mada mkuu naona unajielewa sana(mtazamo wangu). Starehe unazozifanya zinachangiwa sana na umri wako hivyo unahitaji kujicontrol sana. Usijibane sana kwani kama kijana kuna mambo unatakiwa kuyafanya ila kuwa na kiasi. Tambua kwamba kuna mambo ukiyaendekeza yatazima ndoto zako zote mkuu,hivyo kuwa makini sana. Jifunze sana kusave na jinsi ya kujiongezea kipato kupitia njia mbali mbali.
Dah umezungumza kweli mkuu, Nina katabia cha kutoa toa ndugu ama rafiki akisema nimkopeshe. Alafu naishia kutokulipwa....1.Acha anasa
2.punguza commitment yako kwenye mapenzi
3.Focus kwenye kufanikiwa
4.Kuwa na Roho Ngumu
5.Kuwa na Roho Mbaya
Kuwa na roho ngum namaansha uweze kufanya maamuz magum...hata kama wajua yatawakera watu wako wa karibu
Kuwa na roho mbaya namaanisha sio kila unachoombwa utoe...na kama ukitoa icwe kwa mda huo...!!na pia isiwe kwa kiasi kinachotakiwa
Ukiendekeza saana misaada...huruma...na commitment kwa watu wengine katika safari yako ya mafanikio....daima hutaifikia...!!sisemi usisaidie ndugu....saidia lakn kuwa na mipaka kwenye msaada wako
Kwema humu ndani?
Ningependa kupata ushauri/ namna ya kufanikiwa maishani kama kijana. Kwa ufupi mimi nina miaka 21, ni mwajiriwa sehemu fulani. Pia, nina mpango wa kuanzisha miradi yangu kufikia February 2020. Nina uwezo wa kutengeneza mpaka laki moja na elfu hamsini (150,000) kwa mwezi tofauti na mshahara wangu ila ninajikuta nashawishika kufanya starehe kama kwenda club every weekend. Natumia Mpaka laki moja kwa Ijumaa na Jumamosi na baada ya hapo Najuta why nisinge-save nifanye mambo mengine.
Kama mdogo wenu, naombeni mnisaidie. Pia, agemates mnisaidie kwa ushauri.
NB: Nina elimu ya kilimo na mifugo pia.