Ushauri namna ya kufanya Service BMW X3

Ushauri namna ya kufanya Service BMW X3

Hiki unachosema ni vizuri ila nakubaliana na jamaa mtoa mada kwamba inawezekana hata wewe hufanyi hivyo kila siku (au niseme watu wengi hatufanyi hivyo kila siku kuhalisia). Ndio maana warning kights kwenye magari ya kisasa ji nyingi, ikiwaka unakagua.
Kama mna uzoefu ma hizi gari mshaurini tu frequency ya kufanya service, oil type etc. uzuri gari nyingi za Ilaya zikiwa na shida unapewa kila kitu kwenye dash. Binafsi naona kama kauziwa oil bei ghali sana. Na oil recommended inatakiwa kutoboa KM 5000. Ikibaki km chini ya 500 sio mbaya unaweza bado kufanya service tu kwa sababu ni rahisi kumaliza huo umbali na ukawa sehemu usiyoweza kufanya service.
Lakini pia nakubaliana kiujumla na wazo la kujenga tabia ya kukagua gari from time to time
Yeah Gari yenye sensor Kila mahali huwezi kuikagua kila siku, kama Tyre ikidungwa tu na msumari Taa inawaka ya nini Sasa kuanza kukagua matari Kila siku, labda kama ni mabovu kwamba unahofia yatabasti njiani
 
Wakuu nimerudi tena, Nadhani mtakuwa mnaniona hapa mara kwa mara Kila nitakapopata changamoto

Juzi kati nilipata safari ya Dodoma nikaenda na Beamer (BMW X3) na ndio ilikuwa kwa mara ya kwanza naenda safari ndefu na hii gari

Wakati naenda muda wa kulifanyia service ulikuwa Bado haujafika zilibaki kama kilometers 1,200 plus nikaenda Dom nikarudi zikabaki kama kilometers 200+ ili zitimie kilometers 3,000 muda wa kufanya service ufike

Sasa Wakati narudi nilivyofika mbezi Taa ya Engine oil ikaniwakia (yellow) nikafika nyumbani, jana nikalipeleka Mikocheni kwa lengo la kuongezwa oil

Mikocheni Coca-cola Garage ya Atlantic lakini nilivyofika jamaa wakanambia kabla ya kuongeza oil itabidi walicheki kwanza kama kuna leakage wakacheki hawajakuta leakage yoyote ila wakanambia itabidi walifanyie Service kabisa maana oil wameikuta ni nzito tofauti na inavyotakiwa (nikakubali)

Waka change Oil na Oil filter Gari ikakaa sawa, nikapewa invoice total ikaja Tsh 483,800,

Ile Quotation Iko hivi

Oil 8 liters 350,000
Filter 60,000

Subtotal = 410,000/=

Vat 18% 73,800

Total = 483,000/=

Swali langu ni kwamba ukilifanyia Gari service na haina leakage yoyote Oil inatoboa hadi next Service au hapa katikati inabidi uiongezee?

Na je kwa situation yangu ya jana ni kweli ilibidi gari lifanyiwe Service au walivutia upande wao wa kibiashara, Wajuzi naombeni mshee experience zenu
View attachment 2453442

Yaani BMW engine Oil service ufanye baada ya 3000Km.


Kweli wajapani wa Bongo mmefanya kazi kubwa sana kuturn hizi German mashines kuwa japanese motors.
 
Hiki unachosema ni vizuri ila nakubaliana na jamaa mtoa mada kwamba inawezekana hata wewe hufanyi hivyo kila siku (au niseme watu wengi hatufanyi hivyo kila siku kuhalisia). Ndio maana warning kights kwenye magari ya kisasa ji nyingi, ikiwaka unakagua.
Kama mna uzoefu ma hizi gari mshaurini tu frequency ya kufanya service, oil type etc. uzuri gari nyingi za Ilaya zikiwa na shida unapewa kila kitu kwenye dash. Binafsi naona kama kauziwa oil bei ghali sana. Na oil recommended inatakiwa kutoboa KM 5000. Ikibaki km chini ya 500 sio mbaya unaweza bado kufanya service tu kwa sababu ni rahisi kumaliza huo umbali na ukawa sehemu usiyoweza kufanya service.
Lakini pia nakubaliana kiujumla na wazo la kujenga tabia ya kukagua gari from time to time
Mkuu Oil Gani ni recommended kwa BMW X3 ya 2008 kwa hali ya hewa ya Dar ambayo inaweza kutoboa hizo Kilometers 5,000
 
Yaani BMW engine Oil service ufanye baada ya 3000Km.


Kweli wajapani wa Bongo mmefanya kazi kubwa sana kuturn hizi German mashines kuwa japanese motors.
Mkuu kama unaendesha Gari ya Ujerumani huko huko Ujerumani ni sawa unaweza badilisha baada ya kilometers 5,000 lakini kama unaendesha Gari ya German hapa Bongo basi ni vizuri kuchange oil Kila baada ya kilometers 3,000 kwasababu kuna factors nyingi zitakazosababisha usitoboe hizo Kilometers elfu 5
 
Wakuu nimerudi tena, Nadhani mtakuwa mnaniona hapa mara kwa mara Kila nitakapopata changamoto

Juzi kati nilipata safari ya Dodoma nikaenda na Beamer (BMW X3) na ndio ilikuwa kwa mara ya kwanza naenda safari ndefu na hii gari

Wakati naenda muda wa kulifanyia service ulikuwa Bado haujafika zilibaki kama kilometers 1,200 plus nikaenda Dom nikarudi zikabaki kama kilometers 200+ ili zitimie kilometers 3,000 muda wa kufanya service ufike

Sasa Wakati narudi nilivyofika mbezi Taa ya Engine oil ikaniwakia (yellow) nikafika nyumbani, jana nikalipeleka Mikocheni kwa lengo la kuongezwa oil

Mikocheni Coca-cola Garage ya Atlantic lakini nilivyofika jamaa wakanambia kabla ya kuongeza oil itabidi walicheki kwanza kama kuna leakage wakacheki hawajakuta leakage yoyote ila wakanambia itabidi walifanyie Service kabisa maana oil wameikuta ni nzito tofauti na inavyotakiwa (nikakubali)

Waka change Oil na Oil filter Gari ikakaa sawa, nikapewa invoice total ikaja Tsh 483,800,

Ile Quotation Iko hivi

Oil 8 liters 350,000
Filter 60,000

Subtotal = 410,000/=

Vat 18% 73,800

Total = 483,000/=

Swali langu ni kwamba ukilifanyia Gari service na haina leakage yoyote Oil inatoboa hadi next Service au hapa katikati inabidi uiongezee?

Na je kwa situation yangu ya jana ni kweli ilibidi gari lifanyiwe Service au walivutia upande wao wa kibiashara, Wajuzi naombeni mshee experience zenu
View attachment 2453442
Kama hakuna leakage huhitaji kuongeza oil hapo kati
Taa ya njano kuwaka ni 'normal warning ' na sometimes mfumo unachanganyikiwa kidogo
Nilichoona hapo ni bei ya oil, naona kama wamepiga ndefu.. Labda kama ni ile oil ya km 10,000 hapo sawa
 
Wakuu nimerudi tena, Nadhani mtakuwa mnaniona hapa mara kwa mara Kila nitakapopata changamoto

Juzi kati nilipata safari ya Dodoma nikaenda na Beamer (BMW X3) na ndio ilikuwa kwa mara ya kwanza naenda safari ndefu na hii gari

Wakati naenda muda wa kulifanyia service ulikuwa Bado haujafika zilibaki kama kilometers 1,200 plus nikaenda Dom nikarudi zikabaki kama kilometers 200+ ili zitimie kilometers 3,000 muda wa kufanya service ufike

Sasa Wakati narudi nilivyofika mbezi Taa ya Engine oil ikaniwakia (yellow) nikafika nyumbani, jana nikalipeleka Mikocheni kwa lengo la kuongezwa oil

Mikocheni Coca-cola Garage ya Atlantic lakini nilivyofika jamaa wakanambia kabla ya kuongeza oil itabidi walicheki kwanza kama kuna leakage wakacheki hawajakuta leakage yoyote ila wakanambia itabidi walifanyie Service kabisa maana oil wameikuta ni nzito tofauti na inavyotakiwa (nikakubali)

Waka change Oil na Oil filter Gari ikakaa sawa, nikapewa invoice total ikaja Tsh 483,800,

Ile Quotation Iko hivi

Oil 8 liters 350,000
Filter 60,000

Subtotal = 410,000/=

Vat 18% 73,800

Total = 483,000/=

Swali langu ni kwamba ukilifanyia Gari service na haina leakage yoyote Oil inatoboa hadi next Service au hapa katikati inabidi uiongezee?

Na je kwa situation yangu ya jana ni kweli ilibidi gari lifanyiwe Service au walivutia upande wao wa kibiashara, Wajuzi naombeni mshee experience zenu
View attachment 2453442
Ipo siku utaliuza hapa hapa
 
Hata mimi najua BMW ni 10k ndio service, sijui gari yake imeandikwaje au amefata wafundi wa mtaani!!
Google Atlantic ipo Mikocheni Coca-cola karibu na GSM iliyoungua, halafu Rudi hapa uniambie kama ni wa mtaani, Picha linaanza nilivyoenda kwa mara ya kwanza nimekabidhi funguo reception naona mzungu ndio anakabidhiwa funguo akaishughulikie gari maana ndio ilikuwa imetua Bongo

Niliacha milion 1 na laki 2 kuchekiwa tu Kila Kitu kama Kiko sawa na vilivyo badilishwa ni oil filter na Air filter basi
 
kama gari haina leakage yoyote inatoboa hadi service nyingine na mara nyingi inategemea na oil unayotumia kwenye gari lako zipo oil hadi 5000km ndo unabadili. Ikitokea gari lako oil inapungua ujue kuna shida kwenye gari lako mana gari lenye mfumo mzuri uwezi ongeza oil ni service hadi service.
Wajinga ndo waliwao ,kubadili oil kwa kilometa ipo siku utalia ,Cha msingi angalia gari umelitumiaje

Eg kilometa 5000 Ni sawa utembee km 1000 kwa siku tano unaweza ua gari
kama gari haina leakage yoyote inatoboa hadi service nyingine na mara nyingi inategemea na oil unayotumia kwenye gari lako zipo oil hadi 5000km ndo unabadili. Ikitokea gari lako oil inapungua ujue kuna shida kwenye gari lako mana gari lenye mfumo mzuri uwezi ongeza oil ni service hadi service.
 
Google Atlantic ipo Mikocheni Coca-cola karibu na GSM iliyoungua, halafu Rudi hapa uniambie kama ni wa mtaani, Picha linaanza nilivyoenda kwa mara ya kwanza nimekabidhi funguo reception naona mzungu ndio anakabidhiwa funguo akaishughulikie gari maana ndio ilikuwa imetua Bongo

Niliacha milion 1 na laki 2 kuchekiwa tu Kila Kitu kama Kiko sawa na vilivyo badilishwa ni oil filter na Air filter basi
Mzungu Ni asili tu

Gari langu lilivopata ajali , garage Ni ya mchina, ofisini Yuko mchina Bei tumepatana na mchina ila gari imenyooshwa na wabongo kwa vifaa vyamchina
 
Google Atlantic ipo Mikocheni Coca-cola karibu na GSM iliyoungua, halafu Rudi hapa uniambie kama ni wa mtaani, Picha linaanza nilivyoenda kwa mara ya kwanza nimekabidhi funguo reception naona mzungu ndio anakabidhiwa funguo akaishughulikie gari maana ndio ilikuwa imetua Bongo

Niliacha milion 1 na laki 2 kuchekiwa tu Kila Kitu kama Kiko sawa na vilivyo badilishwa ni oil filter na Air filter basi

Kwa hio kuchekiwa ukapewa mkeka wa milion kwamba ndo ukaona wako vizuri ,, je ningekupeleka sehemu likachekiwa wakakwambia au kukupa mkeka wa Bei ghali zaidi means ungeona huko pa Bei ghali ndo mafundi😁 we bado mshamba na utapigwa sana

Ushamba wa watu wengine wenye pesa na akili zipo down ndo inafanya wajanja tuishi mjini just kwa kujua ongea tu
 
Back
Top Bottom