Mh2
Member
- Apr 7, 2014
- 90
- 11
Haki ya Mungu namuacha kwa hali hii.
Wana Jf nawaombeni ushauri.
Kama nisipopata ufumbuzi tunaachana.
Namulaumu sana baba yangu kwa kunitafutia mwanake wa kuoa ambaye anaharufu kali na mbaya sana sehemu zake za siri.
Na ndo maana ni bora kufanyanae mapenzi mwanamke kabla ya kumuoa ili ujue harufu yake,wasukuma wanasema ujue insuh lake.
Anajitawaza kwa sabuni ya are you ama emperie huku umemsimamia, mkishafanya tu mapenzi round ya 1 anatoa harufu kari sana ukeni.
Ningefanya nae mapenzi kabla sijamuoa nisingemuoa.
Wana Jf nawaombeni ushauri.
Kama nisipopata ufumbuzi tunaachana.
Namulaumu sana baba yangu kwa kunitafutia mwanake wa kuoa ambaye anaharufu kali na mbaya sana sehemu zake za siri.
Na ndo maana ni bora kufanyanae mapenzi mwanamke kabla ya kumuoa ili ujue harufu yake,wasukuma wanasema ujue insuh lake.
Anajitawaza kwa sabuni ya are you ama emperie huku umemsimamia, mkishafanya tu mapenzi round ya 1 anatoa harufu kari sana ukeni.
Ningefanya nae mapenzi kabla sijamuoa nisingemuoa.