Ushauri: Napandwa na hasira bila sababu pia nimejikuta sipendi kujichanganya na watu. Nifanyeje kuondokana na hali hii?

Ushauri: Napandwa na hasira bila sababu pia nimejikuta sipendi kujichanganya na watu. Nifanyeje kuondokana na hali hii?

Kwanza una heka walau ya kula tu .

Kaka huwa unapiga nyeto au?una muda gani hujapata mbususu.
 
Mimi natafuta pesa to that i can live my life to the fullest. Natambua kuwa na hasira ni kitu cha kawaida tu kwa bimadamu wala hakihusian na kuwa au kutokua na pesa. Hasira unapaswa kuzi manage, as a real human being.Ndio maana huwa nawaona wapumbavu watu wenye mitazmo kama yii yako, ya kila kitu "tafuta hela". Stupid idiots

Wala sio ya maana kwa kiwango cha akkl zako, lakin atleast sio kama huo uchafu wa "tafuta hela"
Hiyo kauli lazima ikuchanganye.
Tafuta hela.
 
Mbona hapa umeandika bila hasira na umesema ukienda social media hasira zinapanda na unaanza tukana watu hovyo, mbona hapa hujatukana, acha mizinguo za likes.
 
Hellow

Ipo hivi hii hali ninayo toka nikiwa mdogo lakini haikuwa inajionyesha sana kama ilivyo kwa sasa hivi naweza nikawa nimekaa hivi nikapandwa na hasira gafla na kilichonifanya nipandwe na hasira nisikijue .

Pia naweza kuwa natamani kwenda kwenye social group ila nikifika pale hasira zikapanda ghafla nikaaza jibu watu ovyo pia najikuta napenda kukaa peke yangu sana sipendi kukaa na watu now days watu wakija kushare idea nachukia kitu hiki kimeendelea mpaka kwenye mahusihano yangu

Lovely aneweza nipigia simu vizuri kabisa ila wakati naongea nae najikuta hasira zinapanda nakata simu au namjibu majibu ya ovyo then nikitulia najutia nashindwa jizuia na hii hali mpaka sasa napenda interactions lakinI ndio hivyo halii inanizidi nguvu how I can overcome this problem 😌
Ww ni shoga tatizo hilo pepo la kuzimu inabidi likutoke kijana fanya kazi punguza kupenda dezo dezo
 
Tafuta hela dogo, itakusaidia kupunguza upumbavu.
Hela mimi sitafuti dogo, nazitega zinakuja tu. Ndio wenye akil tunavyofanya. Utafute pesa mpaka lini?.

Kwa upande wangu pia nazid kujielimisha kwenye mambo kadhaa ili kupunguza ujinga. Nashkuru kama umeungana na mimi kwamba wewe ni mpumbavu. Japo usisahau, pesa haiondoi upumbavu kama ulio nao. Ni elimu juu ya mambo mbali mbali sawa binti yangu?? .

Acha kuish kwa kusubir nyongeza ya mshahara na kuoanda madaraja, utazeeka zaid madam atoto, umesikia mwalimu?
 
Hellow

Ipo hivi hii hali ninayo toka nikiwa mdogo lakini haikuwa inajionyesha sana kama ilivyo kwa sasa hivi naweza nikawa nimekaa hivi nikapandwa na hasira gafla na kilichonifanya nipandwe na hasira nisikijue .

Pia naweza kuwa natamani kwenda kwenye social group ila nikifika pale hasira zikapanda ghafla nikaaza jibu watu ovyo pia najikuta napenda kukaa peke yangu sana sipendi kukaa na watu now days watu wakija kushare idea nachukia kitu hiki kimeendelea mpaka kwenye mahusihano yangu

Lovely aneweza nipigia simu vizuri kabisa ila wakati naongea nae najikuta hasira zinapanda nakata simu au namjibu majibu ya ovyo then nikitulia najutia nashindwa jizuia na hii hali mpaka sasa napenda interactions lakinI ndio hivyo halii inanizidi nguvu how I can overcome this problem 😌
NYOTA YAKO NI IPI
 
Hahahaha

Ni hilo au pia masuala ya financial(pesa). Vijana wengi JF wanapitia hii hali, wana stress sana na ndio hao hao wanashinda humu wakisema kataa ndoa, wanajifungia ndani hawataki kupambana na wakiishia kujichua.

Hivyo wanashindwa kuwa consistency ku-focus kwenye maisha yao. Hii ni 85% ya vijana waliopo humu si wote.

Vijana wana stress sana kupita maelezo.
Kweli kabisa kukosa pesa sometimes kunafanya mtu anakua sitiresidi balaaa ful hasira ful kufokafoka

Cc Smart911
 
Hela mimi sitafuti dogo, nazitega zinakuja tu. Ndio wenye akil tunavyofanya. Utafute pesa mpaka lini?.

Kwa upande wangu pia nazid kujielimisha kwenye mambo kadhaa ili kupunguza ujinga. Nashkuru kama umeungana na mimi kwamba wewe ni mpumbavu. Japo usisahau, pesa haiondoi upumbavu kama ulio nao. Ni elimu juu ya mambo mbali mbali sawa binti yangu?? .

Acha kuish kwa kusubir nyongeza ya mshahara na kuoanda madaraja, utazeeka zaid madam atoto, umesikia mwalimu?
Dogo tafuta pesa upunguze kujielezea na upumbavu.
 
Hellow

Ipo hivi hii hali ninayo toka nikiwa mdogo lakini haikuwa inajionyesha sana kama ilivyo kwa sasa hivi naweza nikawa nimekaa hivi nikapandwa na hasira gafla na kilichonifanya nipandwe na hasira nisikijue .

Pia naweza kuwa natamani kwenda kwenye social group ila nikifika pale hasira zikapanda ghafla nikaaza jibu watu ovyo pia najikuta napenda kukaa peke yangu sana sipendi kukaa na watu now days watu wakija kushare idea nachukia kitu hiki kimeendelea mpaka kwenye mahusihano yangu

Lovely aneweza nipigia simu vizuri kabisa ila wakati naongea nae najikuta hasira zinapanda nakata simu au namjibu majibu ya ovyo then nikitulia najutia nashindwa jizuia na hii hali mpaka sasa napenda interactions lakinI ndio hivyo halii inanizidi nguvu how I can overcome this problem 😌
Kwa mtizamo wangu na experience ndogo ya Hali kama hiyo naweza kusema yafuatayo pengine yaweza kukusaidia .......
Kwanza ujue tabia ya binadamu inajengwa kwa mazingira,vina Saba ,pamoja na malezi Sasa kwa kuangalia vitu vyote hivyo Moja kwa Moja naweza kusema shida yako inatokana na malezi pamoja na mazingira ,so yawezkana Katika ukuaji wako umelelewa na wazazi ,au mzazi ,ndugu ,au watu tofauti so naamini malezi ya baba na mama ni tofauti na malezi mengine so yaweza athiri Hali yako kama Mimi nimelelewa na ndugu tofauti na wazazi wangu japo ndugu zangu wengine walilelewa na wazazi Kuna vitu naviona kwangu kama vilikosekana Katika malezi yangu so Kuna tabia zimeletwa na hayo malezi ,vile vile kwenye ishu ya mazingira pia ni muhimu kuangalia na zaidi angalia vinasaba kwa kuangalia Katika familia ni wewe tuu mwenye iyo shida ........ aksante
 
Back
Top Bottom