Ushauri: Nataka kuacha kusoma Bachelor Degree in Computer Science nikasome Diploma in Diagnostic Radiography

Ushauri: Nataka kuacha kusoma Bachelor Degree in Computer Science nikasome Diploma in Diagnostic Radiography

Ungetueleza kwanini hasa una taka kusoma Diagnostic Radiography. Najua rushwa ndio kimbilio la wengi. Kwenye Diagnostic Radiography kuna rushwa sana na ndio maan vijana wengi hukimbilia huko. Lakini Bachelor in computer science ni nzuri na ina future nzuri kuliko hicho ki diploma. Ningekueleza mengi lakini hapo inatosha.
 
Habari zenu wakuu,

Naitwa Jason kwa sasa nasoma Chuo Cha uhasibu Arusha (IAA), kozi ni Bachelor Degree in Computer Science naingia sasa mwaka wa pili lakini nina dukuduku nyumbani wanasema hii kozi nitahangaika huko mbeleni kupata kazi ya maslahi ni bora ningekua nasoma Afya kungeweza kuwa na afadhali, lakini Sasa nimeshasoma mwaka mmoja.

Kuna wazo limeniijia kichwani kwamba niachane nayo alafu nikasome Diploma kozi ya Afya (Diagnostic Radiography).

Naombeni ushauri wakuu lipi wazo Bora kuendelea nayo au nikasome hyo Diploma ya kozi ya Afya,

Ahsanteni [emoji120][emoji120][emoji120]
Hakuna kada yenye afadhari, tatizo LA ajira ni kubwa Sana, haijarishi unasoma kozi gani,
Nikupe mfsno wangu binafsi, miaka ya 2000,wakati namaliza secondary ndugu na jamaa walinishawsishi nichague kusoma civil engineering, badala ya electrical, wengine wakasema niende form six, badala ya College,
Mimi ndani yangu, "little did they know" Tangu nikiwa shule ya msingi, nilikuwa nashangszwa na kuvutiwa na mifumo ya umeme,
I made up my mind from a tender age of 11yrs, that I will be an engineer,
Sijawahi kujuta!
Kama ajira wameishakutafutia, kapige shule, Ila kama ni story tu, unajua hii kozi inalipa, hizo ni swaga tu, hazina mashiko.
 
Ila maisha hayana formula ,yupo jamaa yangu amesoma kilimo now yupo kampuni ya wazungu ya mbegu South kama K/koo. Katupiga bao watu kibao anavuta mpunga wa hatari.

Maliza kozi hiyo mkuu usibabaike maisha ni malengo na mipango.
 
Ila maisha hayana formula ,yupo jamaa yangu amesoma kilimo now yupo kampuni ya wazungu ya mbegu South kama K/koo. Katupiga bao watu kibao anavuta mpunga wa hatari.

Maliza kozi hiyo mkuu usibabaike maisha ni malengo na mipango.
Sahihi kabisa
 
Habari zenu wakuu,

Naitwa Jason kwa sasa nasoma Chuo Cha uhasibu Arusha (IAA), kozi ni Bachelor Degree in Computer Science naingia sasa mwaka wa pili lakini nina dukuduku nyumbani wanasema hii kozi nitahangaika huko mbeleni kupata kazi ya maslahi ni bora ningekua nasoma Afya kungeweza kuwa na afadhali, lakini Sasa nimeshasoma mwaka mmoja.

Kuna wazo limeniijia kichwani kwamba niachane nayo alafu nikasome Diploma kozi ya Afya (Diagnostic Radiography).

Naombeni ushauri wakuu lipi wazo Bora kuendelea nayo au nikasome hyo Diploma ya kozi ya Afya,

Ahsanteni [emoji120][emoji120][emoji120]
Kasome chaap Radiology hiyo.
 
Ungetueleza kwanini hasa una taka kusoma Diagnostic Radiography. Najua rushwa ndio kimbilio la wengi. Kwenye Diagnostic Radiography kuna rushwa sana na ndio maan vijana wengi hukimbilia huko. Lakini Bachelor in computer science ni nzuri na ina future nzuri kuliko hicho ki diploma. Ningekueleza mengi lakini hapo inatosha.
Nashukuru mkubwa Kwa ushauri 🙏🙏
 
Hakuna kada yenye afadhari, tatizo LA ajira ni kubwa Sana, haijarishi unasoma kozi gani,
Nikupe mfsno wangu binafsi, miaka ya 2000,wakati namaliza secondary ndugu na jamaa walinishawsishi nichague kusoma civil engineering, badala ya electrical, wengine wakasema niende form six, badala ya College,
Mimi ndani yangu, "little did they know" Tangu nikiwa shule ya msingi, nilikuwa nashangszwa na kuvutiwa na mifumo ya umeme,
I made up my mind from a tender age of 11yrs, that I will be an engineer,
Sijawahi kujuta!
Kama ajira wameishakutafutia, kapige shule, Ila kama ni story tu, unajua hii kozi inalipa, hizo ni swaga tu, hazina mashiko.
Nimekupata vyema mkuu 👍
 
Ungetueleza kwanini hasa una taka kusoma Diagnostic Radiography. Najua rushwa ndio kimbilio la wengi. Kwenye Diagnostic Radiography kuna rushwa sana na ndio maan vijana wengi hukimbilia huko. Lakini Bachelor in computer science ni nzuri na ina future nzuri kuliko hicho ki diploma. Ningekueleza mengi lakini hapo inatosha.
Nieleze tu mkuu .. ili nipate uelewa wa kutosha
 
Habari zenu wakuu,

Naitwa Jason kwa sasa nasoma Chuo Cha uhasibu Arusha (IAA), kozi ni Bachelor Degree in Computer Science naingia sasa mwaka wa pili lakini nina dukuduku nyumbani wanasema hii kozi nitahangaika huko mbeleni kupata kazi ya maslahi ni bora ningekua nasoma Afya kungeweza kuwa na afadhali, lakini Sasa nimeshasoma mwaka mmoja.

Kuna wazo limeniijia kichwani kwamba niachane nayo alafu nikasome Diploma kozi ya Afya (Diagnostic Radiography).

Naombeni ushauri wakuu lipi wazo Bora kuendelea nayo au nikasome hyo Diploma ya kozi ya Afya.

Ahsanteni [emoji120][emoji120][emoji120]

Kwa hiyo hiyo unayotaka ukasome tena diploma ndio umeambiwa ina ajira? Kwanza kuacha kozi kwa ulipofika ni kupoteza muda bure!

Dunia kwa sasa inaenda kwenye mtandao na hapa ndio comp science inapo shine!

Nakushauri soma computer science, tena jitahidi uelewe vitu na uwe mtu wa kujisomea (rudia tena kusoma apo)!

Kuna future kwenye ulimwengu wa computer ukiwa smart kichwani na mbunifu ila ukiwa unachojua ni PHP uliyosoma chuo hamna rangi utaacha ona..

Endelea na degree yako usiache!

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wakuu,

Naitwa Jason kwa sasa nasoma Chuo Cha uhasibu Arusha (IAA), kozi ni Bachelor Degree in Computer Science naingia sasa mwaka wa pili lakini nina dukuduku nyumbani wanasema hii kozi nitahangaika huko mbeleni kupata kazi ya maslahi ni bora ningekua nasoma Afya kungeweza kuwa na afadhali, lakini Sasa nimeshasoma mwaka mmoja.

Kuna wazo limeniijia kichwani kwamba niachane nayo alafu nikasome Diploma kozi ya Afya (Diagnostic Radiography).

Naombeni ushauri wakuu lipi wazo Bora kuendelea nayo au nikasome hyo Diploma ya kozi ya Afya.

Ahsanteni 🙏🙏🙏
Una ujinga mwingi asee
 
Are you passionate about science and technology? Ready to make a difference in the world of laboratory sciences? Join us at the Dar es Salaam Institute of Technology, Mwanza Campus for our Bachelor of Technology (B. Tech) in Laboratory Sciences program!
 
Habari zenu wakuu,

Naitwa Jason kwa sasa nasoma Chuo Cha uhasibu Arusha (IAA), kozi ni Bachelor Degree in Computer Science naingia sasa mwaka wa pili lakini nina dukuduku nyumbani wanasema hii kozi nitahangaika huko mbeleni kupata kazi ya maslahi ni bora ningekua nasoma Afya kungeweza kuwa na afadhali, lakini Sasa nimeshasoma mwaka mmoja.

Kuna wazo limeniijia kichwani kwamba niachane nayo alafu nikasome Diploma kozi ya Afya (Diagnostic Radiography).

Naombeni ushauri wakuu lipi wazo Bora kuendelea nayo au nikasome hyo Diploma ya kozi ya Afya.

Ahsanteni 🙏🙏🙏
Binafsi sikushauri uache chuo.... Hakuna kitu kibaya kama miluzi Mingi... Carrier ni siri ya Mungu na hakuna ajuaye ni kitu gani kitamfanya afanikiwe... Wewe piga GPA Kali uone kama hutopata Ajira... AJIRA KIBAO TU SEMA WATU HAWANA SIFA... Gonga Computer Science ukimaliza Piga Driving course VIP 2 Kama plan B... Gonga na CISA Kabisa afu jisajili Ajira portal .. Kazi za professional zikisumbua omba Udereva... Kisha baada ya Muda hamia Kada yako
 
Broadly speaking haupo sahihi kufuata maelekezo ya watu wa nyumbani. Swali kuu ni je unaipenda kozi ya kompyuta science au hiyo kozi yako wanayotaka wa nyumbani kwenu ukasome. Inaonekana kama bado hujui namna ya kufanya maamuzi.

Mimi ningekuwa nasoma sasa hivi basi katika kozi ambazo ningesoma ni kama ifuatavyo ya kwanza Computer Science, ya pili Law na ya tatu Business Administration.
Hey ivi business administration au accounts ipi bora?
 
Binafsi sikushauri uache chuo.... Hakuna kitu kibaya kama miluzi Mingi... Carrier ni siri ya Mungu na hakuna ajuaye ni kitu gani kitamfanya afanikiwe... Wewe piga GPA Kali uone kama hutopata Ajira... AJIRA KIBAO TU SEMA WATU HAWANA SIFA... Gonga Computer Science ukimaliza Piga Driving course VIP 2 Kama plan B... Gonga na CISA Kabisa afu jisajili Ajira portal .. Kazi za professional zikisumbua omba Udereva... Kisha baada ya Muda hamia Kada yako
Ww mbinguni moja kwa moja huu ushauri ni mzuri 100% kwa maisha yetu
 
Maswala ya compyuta na mawasiliano hayapaswi kusomwa na kijana wenye mawazo ya kuajiliwa.

Ni fani zinazohitaji hobby ili uweze kua mtaalam hatimae kuajiliwa na kujiajiri.

Na pesa nyingi kwenye fani hizo ziko kwenye kujiajiri na sio kuajiriwa.
 
Kama ulienda basi ujuandae kufa na mionzi.
Mionzi ilivyoathiri wanasayansi wengi bado mtu unashauriwa kwenda kwenye mionzi ukakae na X Ray machine inakuchoma mwili. Bora mionzi ya computer kuliko tanuri la mionzi.
 
Back
Top Bottom