ludaga mdawagala
New Member
- Nov 17, 2017
- 3
- 3
Unataka kufanyia wapi Biashara Yako, Hizi mashine zipo za mahitaji tofauti, zipo mashine za kusaga na kukubo mizigo midogo midogo. Pia zipo mashine ambazo zinasaga unga wa Biashara ule wa kupack sasa wewe unataka kufanya nini katika hivyo viwili?Habari Mimi ni kijana nataka mjasiliamali nataka kuanzisha kiwanda kidogo cha kukoboa nafaka kwa garama nafuu sana naomba ushauri bei ya mota pamoja bei ya kinu cha kukoboa na kusaga na kifaa vingine tafadhari
Mashine za Sido ndio nzuri zukani zitakusumbua, Sema Upo mbali, mimi nipo Dar es salaam, Namiliki mashine ya Kukoboa na kusaga mizigo midogo midogo na Mikubwa pia zinasaga Pia, mashine yangu ya kusaga Nilitengenezea Dodoma Karibu na Soko La mahindi kibaigwa, na ya Kukoboa nilitengenezea hapa hapa Dar, kwanini ya Kusaga nilitengenezea Dodoma Ni kwasabau Jamaa anatengeneza mashine imara sana, chuma kabisa mpaka Leo mashine sijawahi kuichomelea tofauti na zile mashine za mabati,Asante mkuu Mimi nataka kufungua machine ya kusaga na kukoboa kwa kutumia umeme pia nataka nifungulie tabora hivyo naomba ufafanuzi jinsi ya kupata:-
1.mota kwa bei nafuu
2.kinu cha kukoboa NA kusaga
Ningependa xn kama ukinitajia na bei zake pia naomba kujua vinu vya sido na vinu vya dukani vipi ni imara na bei yake nafuu
Bei inategemea na Size ya mashine na mota , jaribu kuwatafuta Sido tabora watakupa Ufafanuzi zaidiNataka kufungua mashine za kusaga mizigo midogomidogo ya kuhudumia
Sido na baadhi ya watu mtaani wanazitengeneza. Niliwahi kufuatilia wakantajia namba 75 inasaga kilo 750 sikumbuki kwa saa au kwa siku mtambo kamili inafika million 3.5 na namba 100 inasaga Tani 1 inafika million 4.5.Nataka kufungua mashine za kusaga mizigo midogomidogo ya kuhudumia
Hao wa kibaigwa naweza pata namba zao.mm nipo mbeya nahtaji mashine ngumuMashine za Sido ndio nzuri zukani zitakusumbua, Sema Upo mbali, mimi nipo Dar es salaam, Namiliki mashine ya Kukoboa na kusaga mizigo midogo midogo na Mikubwa pia zinasaga Pia, mashine yangu ya kusaga Nilitengenezea Dodoma Karibu na Soko La mahindi kibaigwa, na ya Kukoboa nilitengenezea hapa hapa Dar, kwanini ya Kusaga nilitengenezea Dodoma Ni kwasabau Jamaa anatengeneza mashine imara sana, chuma kabisa mpaka Leo mashine sijawahi kuichomelea tofauti na zile mashine za mabati,
Bado unataka number auHao wa kibaigwa naweza pata namba zao.mm nipo mbeya nahtaji mashine ngumu
Mkuu Milling naomba namba yako tuwasilianeMashine za Sido ndio nzuri zukani zitakusumbua, Sema Upo mbali, mimi nipo Dar es salaam, Namiliki mashine ya Kukoboa na kusaga mizigo midogo midogo na Mikubwa pia zinasaga Pia, mashine yangu ya kusaga Nilitengenezea Dodoma Karibu na Soko La mahindi kibaigwa, na ya Kukoboa nilitengenezea hapa hapa Dar, kwanini ya Kusaga nilitengenezea Dodoma Ni kwasabau Jamaa anatengeneza mashine imara sana, chuma kabisa mpaka Leo mashine sijawahi kuichomelea tofauti na zile mashine za mabati,