ludaga mdawagala
New Member
- Nov 17, 2017
- 3
- 3
Habari Mimi ni kijana nataka mjasiliamali nataka kuanzisha kiwanda kidogo cha kukoboa nafaka kwa garama nafuu sana naomba ushauri bei ya mota pamoja bei ya kinu cha kukoboa na kusaga na kifaa vingine tafadhari