Ushauri: Nataka kufanya biashara kuuza na kununua ng'ombe

Ushauri: Nataka kufanya biashara kuuza na kununua ng'ombe

Nkundwe Sr

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2014
Posts
6,289
Reaction score
9,748
Wadau,

Naombeni ushauri wa biashara ya kuchinja ng'ombe na kufungua Butcher Dodoma.

Changamoto zake kwa mwenye uzoefu.

Ushauri tafadhali
 
Njoo nikuunganishe na jamaa yangu anafanya shughuli hiyo yeye atakupa details zote.
 
Back
Top Bottom