wanajamvi ninataka kuanzisha biashara ya kuuza viazi mviringo Dar. nimejipanga kuwapelekea sampuli za viazi mahali husika hususani kwa choma chips gunia la kiazi Dar linauzwaje kwa sasa. na ni mbinu gani zingine nahitaji kuwafikia wateja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.