kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,695
- 2,144
Wataalam wa magari, na wazoefu wa matumizi ya magari, naomba ushauri, nimeona gari ya ubalozi inauzwa aina ya vitz new model, CC 1290. ya 2007. Imeingia nchini 2014.
Mimi itakua ndo gari yangu ya kwanza. Je ipo vizuri? Au huwa inasumbua sumbua, na vp ulaji wa mafuta, vp service yake, vp uimara, na vp kuhusu ushuru, na usajili, inaweza kuwa km sh ngapi? Maana kadi naona imeandikwa diplomatic. Bei anataka usd 2800.