james bendui
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 693
- 690
Wakuu nataka kununua tv inch 55 nasikia bei imepungua ipi ni brand nzuri yenye picha nzuri na inayodumua kwa muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tafuta tcl smart android hutajutia wenye nazo wanaelewa hii kampuni ya kichina ni moto
Nilienda kariakoo nikafananisha kampun tatu muonekano tcl niliipenda kuna kampun inaitwa star x nayo poa ila ukipata smart ukiingia mtandaon zinastackHizo Tcl watu wengi wanazipuuza ila niliona wanalinganisha na Hisense kwenye picha, aisee! Tcl wapo njema sana za Hisense zimepauka rangi .
Hisense kapewa promo tu ila tcl naifananisha na kampuni ya friji Bosch ukiipata hii friji utasahau swala la ubovu na umeme jamani mliopo dar naitaka lita 300 na point hii friji brand new msaada please maana sipo dar kwa sasaNilitumia Hisense
Nikahamia TCL
Naona TCL kamzidi Hisense..
njoo nikupeleke kwa muajemi ukanunue zipo Hisense, Samsung,Lg,Evvol na Tcl hinzi ndizo brand nzuri za tv. anauza jumla na rejareja na kama kuna anaehitaji mzigo wa kutosha godown zipo ilala ndio wanaosuply agrey.Wakuu nataka kununua tv inch 55 nasikia bei imepungua ipi ni brand nzuri yenye picha nzuri na inayodumua kwa muda
ongezea na EVVOL ya ITALYMkuu tafuta tcl smart android hutajutia wenye nazo wanaelewa hii kampuni ya kichina ni moto
Kwa uelewa wangu
1)Samsung
2)hisense
3)tcl
Hizo ndo brand za kuchagua zingatia brand ya kwanza na bei imechangamka
Kweli nina Hisense ila picha yake siyo poa.Hizo Tcl watu wengi wanazipuuza ila niliona wanalinganisha na Hisense kwenye picha, aisee! Tcl wapo njema sana za Hisense zimepauka rangi .
Bei gani and nchi ngapiNilitumia Hisense
Nikahamia TCL
Naona TCL kamzidi Hisense..
Sinunui bidhaa kama TV zaidi ya LG au Samsung!
Huyu mpaka anakuja kuuliza means hamna budget ya Life is Good hapo.Sinunui bidhaa kama TV zaidi ya LG au Samsung!
Hisense nchi 50 - 750KBei gani and nchi ngapi
Kwa kaka angu kuna SMSamsung ndio mambo yote