Ushauri: Nataka nianze kula kitimoto

Ushauri: Nataka nianze kula kitimoto

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
Nataka nianze rasmi kumla huyu mnyama anayechukiwa na watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni..

Nataka kujua anakuwa mtamu zaidi akiwa rosti au mkavu?

Je nimsindikize na ndizi ama kaugali?

Sipendi awe na mafuta mengi nipeni idea za kutosha
 
Nataka nianze rasmi kumla huyu mnyama anayechukiwa na watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni..

Nataka kujua anakuwa mtamu zaidi akiwa rosti au mkavu?

Je nimsindikize na ndizi ama kaugali?

Sipendi awe na mafuta mengi nipeni idea za kutosha
mbona maelezo na tone vinaenda sambamba na wazoefu wa hiyo kitu?

Je! Na wewe ni mmoja wao?

Mwenendo wa maelezo unaishara Kamili za uzoefu.
 
Mfalme wa nyama unaweza kula kilo Moja peke yako.

Tanzania_food_-_Ndizi_na_kitimoto_cha_kukaanga.jpg
 
Back
Top Bottom