Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,026
- 2,266
Heri ya mwaka mpya .
Kuna kitu nimewaza kufanya lakini sijui kama nipo sawa kimahesabu kwa Sababu sio uzoefu nayo, iko hivi nimewaza nianzishe biashra ya chakula (wali) kwa kufanya partnership na mtu. Yaani namtafuta m-mama au mdada nampa mchele 90-100 kg auze. Then mimi Nitakuwa nachukua Kila siku 10k kwake kwa mwezi mmoja.
Nimepanga nifanye hivi at least kwa watu watatu niwe napokea 30k, kuhusu mchele napata wapi Mimi mwenyewe mkulima mzuri tu nalima mpunga kutoa kilo 90-100 kwa mwezi inawezekana kwahiyo nikaona badala ya kuuza mchele nifanye hivi .
Mnaonaje wadau wenye uzoefu nimewaza sawa kweli hapa?
Kuna kitu nimewaza kufanya lakini sijui kama nipo sawa kimahesabu kwa Sababu sio uzoefu nayo, iko hivi nimewaza nianzishe biashra ya chakula (wali) kwa kufanya partnership na mtu. Yaani namtafuta m-mama au mdada nampa mchele 90-100 kg auze. Then mimi Nitakuwa nachukua Kila siku 10k kwake kwa mwezi mmoja.
Nimepanga nifanye hivi at least kwa watu watatu niwe napokea 30k, kuhusu mchele napata wapi Mimi mwenyewe mkulima mzuri tu nalima mpunga kutoa kilo 90-100 kwa mwezi inawezekana kwahiyo nikaona badala ya kuuza mchele nifanye hivi .
Mnaonaje wadau wenye uzoefu nimewaza sawa kweli hapa?