nimechafukwa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 288
- 230
Mm ni kijana wa miaka 23 nmemalza mwaka huu chuo ..I was pursuing bachelor degree in Accountancy at IFM.
Nataka niwe na consultancy firm itakayokua ina deal na hiv vitu.
1.preparation of financial statements
2.Tax issue
3.preparation of bness plan
4.any issue that relate to Accountancy
Changamoto nilizo nazo
1.sina mtaji (I mean hata 100 ya kuanzia)
2.Cna experience (fresh from school)
Nachohitaji kwa wadau
1.yeyote anayefanya hii kazi kunishauri if my idea is viable o najidanganya?
2.mwenye mtaji ili tushirikiane
3.location iwe wap ..naweza kuifungua Arusha au dar es salaam
4.kama huna idea yyte na hii issue tusikatishane tamaa
Nawasilisha wakuu
Nataka niwe na consultancy firm itakayokua ina deal na hiv vitu.
1.preparation of financial statements
2.Tax issue
3.preparation of bness plan
4.any issue that relate to Accountancy
Changamoto nilizo nazo
1.sina mtaji (I mean hata 100 ya kuanzia)
2.Cna experience (fresh from school)
Nachohitaji kwa wadau
1.yeyote anayefanya hii kazi kunishauri if my idea is viable o najidanganya?
2.mwenye mtaji ili tushirikiane
3.location iwe wap ..naweza kuifungua Arusha au dar es salaam
4.kama huna idea yyte na hii issue tusikatishane tamaa
Nawasilisha wakuu