USHAURI NATAKA NINUNUE GARI KUBWA KWA AJILI YA SAFARI. BAJETI 80M.......

w1w2w3

Member
Joined
Jul 19, 2017
Posts
31
Reaction score
21
Wadau naomba ushauri nimekuwa nikisave pesa kwa muda mrefu iliniweze kununua gari ambayo itanisaidia kwenye safari pamoja na majukumu ya hapana pale.. NAOMBA USHAURI KULINGANA NA VIGEZO VIFUATAVYO... 1.Ulaji wa mafuta. 2.Upatikanaji wa spea. 3.Uwezo wa kubeba mizigo. 4.Top Speed....... Ushauri wako muhimu!!!
 
Hivi ulipata mke?
 
Lete milioni hamsini nikuuzie Prado. Ina mwezi mmoja tu hapa Bongo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…