Tangopori
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,628
- 1,285
Heshima kwenu wanajf!
Nasoma bachelor of computer engineering chuo kimoja hapa tz na mwezi wa kumi nategemea kuingia 2nd year!
Mwanzoni niliipenda sana hii computer engineering (na nna matokeo mazuri sana sababu semister ya kwanza somo la mwisho nilikuwa na B tena moja tu) japo kwa sasa mazingira yake tanzania hayaridhishi sana maana ukiangalia hata wanafunzi wengi field wanakosa na pia masomo yake na kazi zake baadae hazina tofauti sana na za IT na computer science ambazo kuna utitiri mwingi sana wa vyuo wanavyotoa hizo kozi za IT na comp. Science!(so kuna watu wengi sana)
Kiukweli nikiingalia civil naona kama ina future ndefu japo siijui kiundani saaana!(ntaomba mnieleze ikoje i.e ajira, uwezo wa kujiajiri, soko e.t.c)
wazo langu ni kurudia mwaka wa kwanza but by this time niwe nasoma civil!
Sasa naomba anayeelewa kuhusa yafuatayo naomba anielekeze pia!
I) Uongozi wa chuo watakubali?
II) Bumu litakuwaje? Au ndo heslb watanimwaga?(japo wakikubali kwa miaka 3 halafu ule wa mwisho nitafute mwenyewe nitakubali)
III) kwa mwenye ushauri kuhusu huu uamuzi kama ni sahihi au sio sahihi(according to yeye) ntaomba pia niupate ili nikae niangalie nijue kuwa mwezi wa kumi narudi na mawazo gani chuoni!
Ahsanteni!
Nasoma bachelor of computer engineering chuo kimoja hapa tz na mwezi wa kumi nategemea kuingia 2nd year!
Mwanzoni niliipenda sana hii computer engineering (na nna matokeo mazuri sana sababu semister ya kwanza somo la mwisho nilikuwa na B tena moja tu) japo kwa sasa mazingira yake tanzania hayaridhishi sana maana ukiangalia hata wanafunzi wengi field wanakosa na pia masomo yake na kazi zake baadae hazina tofauti sana na za IT na computer science ambazo kuna utitiri mwingi sana wa vyuo wanavyotoa hizo kozi za IT na comp. Science!(so kuna watu wengi sana)
Kiukweli nikiingalia civil naona kama ina future ndefu japo siijui kiundani saaana!(ntaomba mnieleze ikoje i.e ajira, uwezo wa kujiajiri, soko e.t.c)
wazo langu ni kurudia mwaka wa kwanza but by this time niwe nasoma civil!
Sasa naomba anayeelewa kuhusa yafuatayo naomba anielekeze pia!
I) Uongozi wa chuo watakubali?
II) Bumu litakuwaje? Au ndo heslb watanimwaga?(japo wakikubali kwa miaka 3 halafu ule wa mwisho nitafute mwenyewe nitakubali)
III) kwa mwenye ushauri kuhusu huu uamuzi kama ni sahihi au sio sahihi(according to yeye) ntaomba pia niupate ili nikae niangalie nijue kuwa mwezi wa kumi narudi na mawazo gani chuoni!
Ahsanteni!