Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikichelewa kulala Kama hivi, naamka muda ambao tayari yeye yupo majukumuni, aliniambiya akiwa majukukumuni ni ngumu kupokea sim but nilikuwaga namtumia msg like "hello umeamkaje, habari za majukumu, nakupenda sana, yaani hivyo.Muda unao vizuri tu,
Ukiamka unamtumia msg au unapigia simu,
Muda wa kula iwe breakfast/lunch/dinner unamjibu msg zake,
Umetoka kazini kabla hujalala unampigia atleast dk 5 tu.
Unataka kusema siku nzima kila sekunde unahudumia tu wateja?
Mwanaume kuwa na Madeni ni kitu cha kawaida sana, especially mishe ninazofanya mim kuwa na Madeni ni kitu cha kawaida sana, Ila naingiza mkwanja uhakika kiasi kwamba siogopi kukopa.We ng'ombe ni kwamba usingizi umekata una mawazo mengi sababu ya madeni na shida. Kwl watu wengi wanaumwa akili
Nikapata hasira ndio ninavyokua.....hahaahaKwann kiingereza 😂