ushauri: Ndoa yangu imekuwa chungu

ushauri: Ndoa yangu imekuwa chungu

NAKWEDE

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2007
Posts
27,970
Reaction score
35,168
Haya ndio maisha yangu na mume wangu kila uchwao. Sijui ni nani huyu katupiga picha
vebighana.jpg
 
Siku zote kichungu huishia kuwa kitamu, tena ndoa za aina hii zinadumu sana.
Sisi saivi nguvu za karate zimeisha tunatumia mikongojo.
 
Umeniona eeeeee, hahahahaahahaahahaha
halafu usiku tunapeana msamaha kwenye sita kwa sita. hahahahahaahah
doh, na hiyo game ya usiku kwenye kusameheana itakuwa na miguno ya maumivu mana lazima tu utakuwa unajitonesha majeraha, nadhani pia utakuwa gogo sababu mgongo unakuuma.
Nimewaza tu lakini.🤣🤣
 
doh, na hiyo game ya usiku kwenye kusameheana itakuwa na miguno ya maumivu mana lazima tu utakuwa unajitonesha majeraha, nadhani pia utakuwa gogo sababu mgongo unakuuma.
Nimewaza tu lakini.🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ndio maana wanashauri wanandoa walalie kakitanda kadogo sana, vitanda vya sita kwa sita, sijui tano kwa sita ni vya watoto na wageni.
Kakitanda kadogo kanasaidia kurahisisha msamaha, maana mkigusana tu tayariiiiii
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ndio maana wanashauri wanandoa walalie kakitanda kadogo sana, vitanda vya sita kwa sita, sijui tano kwa sita ni vya watoto na wageni.
Kakitanda kadogo kanasaidia kurahisisha msamaha, maana mkigusana tu tayariiiiii
Ila kwa nyinyi kidogo hakiwafai mlivo na fujo mtakivunja asee.
 
Acha kuja kutuleta na kutuona sisi raru mamilox,,et nani kakupiga picha akati hii picha ni ya kitambo kinyama uko Nigeria..Leta uzi mwingine sio kutuona sisi ma'ree.
 
Hiyo picha nilivyoionaga kwa mara ya kwanza nilicheka sana...

Demu ni mkurya mwanaume ni msukuma...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom