Ushauri: Nembo ya Bibi na Bwana isitumike kwa kila mtu

Ushauri: Nembo ya Bibi na Bwana isitumike kwa kila mtu

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
C6B73498-F5D6-41CB-96A7-0D2540663CC4.png


Hii nembo haipewi heshima stahiki kila mtu anaitumia anavyotaka naomba serikali itoe tamko kuhusu matumizi, upande wa Bendera turuhusiwe lakini kwa kibali ijulikane inaenda kutumika wapi !!
 
View attachment 2218405
Hii nembo haipewi heshima stahiki kila mtu anaitumia anavyotaka naomba serikali itoe tamko kuhusu matumizi, upande wa Bendera turuhusiwe lakini kwa kibali ijulikane inaenda kutumika wapi !!
Acha kukomplicate maisha kutumika Kwa hyo nembo Ndo heshima yenyeww, Ndo maana Leo kila Barua ya taasisi yoyote ya umma lazma iwe na nembo hyo. Acha ufala basi..
 
View attachment 2218405
Hii nembo haipewi heshima stahiki kila mtu anaitumia anavyotaka naomba serikali itoe tamko kuhusu matumizi, upande wa Bendera turuhusiwe lakini kwa kibali ijulikane inaenda kutumika wapi !!
Yani akili za watanzania sijui ni kwasbb ya elimu duni au kukosa maalifa, watu wana pambana na bei za mafuta na katiba mpya na leta masuala ya masanamu hiyo yatasaudia je nchi kiuchumi?
 
View attachment 2218405
Hii nembo haipewi heshima stahiki kila mtu anaitumia anavyotaka naomba serikali itoe tamko kuhusu matumizi, upande wa Bendera turuhusiwe lakini kwa kibali ijulikane inaenda kutumika wapi !!
Wewe zuzu hiyo nembo na bendera ya taifa hata ccm ikihamua kuzitumia kuchambia sisi hatuna tatizo ....kitu tusicho taka ni ufisadi ,rushwa , wizi wa mali za uma , wizi wa rasilimali zetu,nk hayo ndiyo yamsingi kwetu
 
Makasiriko sasa yamezidi,,, Watu mmesifiwa kukimbia sasa mnapitiliza hadi majumbani kwenu...

Wengine Hasira zimezidi mnachukia hadi utani sasa...

Mkuu yajue ya kuzingatia,, ili uachane na yasiyokuhusu,,, hio nembo haileti hela yoyote kwa taifa hili,,, heshima bila pesa labda Jela.. so hata wakidekia ikulu ni sawa tu...

Zingatia na shauri vitu vya msingi,,, kama taifa tupo nyuma sana.. Na nyie ndio Vijana..
 
SAWA kama itasaidia kupunguza mfumuko wa bei na kubana matumizi ya anasa ya serikali!
 
Kuna picha moja naikumbuka bibi alikuwa amebeba pembe moja ya ndovu anakimbia kuelekea kulia na bwana kabeba yake anakimbia zake kushoto halafu mwenge umeanguka unaiunguza ngao...ilikuwa inakera kweli ila kulikuwa na ujumbe ndani yake🐒
 
Kuna picha moja naikumbuka bibi alikuwa amebeba pembe moja ya ndovu anakimbia kuelekea kulia na bwana kabeba yake anakimbia zake kushoto halafu mwenge umeanguka unaiunguza ngao...ilikuwa inakera kweli ila kulikuwa na ujumbe ndani yake[emoji205]
Da!!!! iweke hiyo picha nimeipenda
 
Back
Top Bottom