Heaven Seeker
JF-Expert Member
- May 12, 2017
- 479
- 1,071
Heshima kwenu ndugu Wafugaji na Wakulima.
Kama mjuavyo, shughuli za Kilimo na Ufugaji ndizo kazi zetu za Asili tulizorithishwa tangu zama za Adam na Eva.
Sasa wakuu nisiwachoshe, mwenzenu nataka niwachukulie Wazee - Ng'ombe mmoja wa Maziwa mwenye mimba na Maksai wawili kwa ajili ya shughuli za Kilimo huko Mwanza. Lengo ni kupunguza kidogo utegemezi ili angalau kwa mwezi wawe wanajipatia vijisenti vya hapa na pale.
Naombeni ushauri mkuu kuhusu wapi naweza kuwapata kwa Mwanza. Itapendeza zaidi nikijua gharama zake pamoja na changamoto nazoweza kukumbana nazo.
Karibuni kwa ushauri Wakuu.
Kama mjuavyo, shughuli za Kilimo na Ufugaji ndizo kazi zetu za Asili tulizorithishwa tangu zama za Adam na Eva.
Sasa wakuu nisiwachoshe, mwenzenu nataka niwachukulie Wazee - Ng'ombe mmoja wa Maziwa mwenye mimba na Maksai wawili kwa ajili ya shughuli za Kilimo huko Mwanza. Lengo ni kupunguza kidogo utegemezi ili angalau kwa mwezi wawe wanajipatia vijisenti vya hapa na pale.
Naombeni ushauri mkuu kuhusu wapi naweza kuwapata kwa Mwanza. Itapendeza zaidi nikijua gharama zake pamoja na changamoto nazoweza kukumbana nazo.
Karibuni kwa ushauri Wakuu.