Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
Unapenda utamu!Umbea mtamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapenda utamu!Umbea mtamu
Sikupati ujueUmbea mtamu
Witty hii Nivea nyoko ni mpya au? Teh😀Nivea nyoko
Samli.Naomba kujua ni lotion gani nzuri ya kukinga mionzi ya jua, jua likiwa kali uso wangu kwenye mashavu nakuwa mwekundu, mi napaka mafuta ya mgando mwili mzima, sasa nimeona nahitaji lotion au mafuta ya kupaka ili ngozi yangu isiharibike.
Tahadhari usinitajie lotion za kujichubua mimi sijichubui na sihitaji,
kama kuna lotion ya kupaka mchana tu niambie au ya kupaka muda wote niambie ni lotion gani nzuri ninunue na nitapata wapi kwa hapa Mwanza.
Asanteni
Hii hata wa kiume anatumia?Tumia Sun Guard, au Zozote zilizoandika Sun hata brand za Nivea ndio naona watu wengi wanazipenda hasahasa wazungu, so wewe ukifika dukani ulizia NIVEA SUN utapata, zinauzwa kutokana na ukubwa wa chupa, chupa kubwa ni kama elf 12, na ndogo ni kama 8000,