Ushauri: Nichukue gari ipi kati ya hizi?

Mtoa mada ina maana umejenga nyumba zote hizo ukiwa unakwea bodaboda? Kuna kama ka chai flani hivi. Unless hizo nyumba ziwe unga unga mwana ila mtu anayejenga nyumba mbili za kawaida hawezi kosa hata IST maana bei yake ni kama Tiles za nyumba moja tu
Mkuu wengine gari tumezipanda ukubwani...so sio priority ukilinganisha na mahitaji mengine. Nina miaka zaidi ya kumi kaka nafanya vitu vingine tu nilipoona vinaisha ndo nikawaza niangalie upande huu pia.
Asante kwa maoni yako lakini
 
Real men na wapambanaji hujulikana kwa komenti km hizi. ASANTE mkuu
 
Nashukru Mkuu sana mkuu kwa mawazo
 
Sasa mkuu mtu akiniagizia gari nitakuwa na uhakika gani na ubora wa gari hiyo?Si anaweza kunichagulia ambayo imechakaa sana?Si anaweza kunichagulia ambayo imeenda kilomita nyingi?
Hapana. Kabla ya kuagiza anakuonyesha kila kitu. Picha na specification zote. Na wao wanatumia site hizi hizi kina beforward, TCV na nyingine.....

Hivi ushaingia kwenye kuchagua gari ukakuta 10 enquiries? Wengi ni hawa vijana wana reserve magari huku wao wanatafuta mteja...
So kama haupo online muda mwingi unajikuta kila ukichagua gari unaambiwa under negotiation....

Hebu check hiyo picha hapo chini ya beforward.....

Pia angalia mfano wa picha ya pili wa hawa vijana wanaoshinda internet kukufanyia hiyo kazi..... (Hii ni kama upo busy)
 
Kluger haujaiweka, RAV4 sio mbaya na hapo 3 kwakuwa gari yako ya kwanza sikushauri sana
 
Kluger haujaiweka, RAV4 sio mbaya na hapo 3 kwakuwa gari yako ya kwanza sikushauri sana
 
Mkuu, kwa ushauri wangu (nimezingatia sana suala la wewe kuwa ni mgeni kwenye sekta hii) ningekutoa hapo ulipolenga nikakupa chaguzi hizi hapa chini:

TOYOTA Pixis Epoch G, 2010>
HONDA Life G, Zest 2010>
NISSAN Moco, Otti 2010>
MITSUBISHI EK Wagon 2010>

DAIHATSU Mira, Move, Esse 2010>
SUZUKI Alto, Wagon R, Palette 2010>
SUBARU Stella, Pleo, Lucra 2010>
MAZDA Carol 2010>

Hizi gari zote siyo SUV na bajeti ni chini ya m15, ili usevu hela nyingine maana hujui ya mbele, ila zinakuwa msaada mkubwa kwako kwani utaokoka na mengi sana hasa spea na usumbufu wa gereji kwa gari ulizotaja wewe, ila ukipenda ulivyoamua napo ni sawa, wafuate walioshauri juu wameshauri vizuri sana pia.
 
Suala la kujisikia mwanamke ukiendesha gari aina fulani ni suala binafsi na homon zako.

Sasa ukipewa hizo gari uendeshe itabidi upewe na taulo za kike usije ingia period ghafla yaani.
Ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]najua amekukwaza sana alipoponda Nissan brand na hajui wewe ni balozi wa brand za watata kama hizi......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anipe nani? Umezoea vya kupewa?

Mimi sipewi ila najinunulia. Kamwe siwezi kununua Dualis. Kwa sababu, by my perception it is for women.

Kama unayo Dualis, basi Mkuu endelea kupush, ila ipo kikike zaidi.
Kama gari zinaenda kwa jinsia basi IST na Vits zote ni za watoto wa sekondari sababu ni vidogo.

Hizo ni perceptions tu umejiwekea. Hakunaga gari ya kike au ya kiume.

We bili ya service ya Nissan Dualis unaijua mzee au unaongea kwasababu tunafurahishana hapa.

Uliza bei tu ya oil ya engine na gear box, hapo sijaongelea shock ups.....

Mzee kama haufahamu uliza.
 
Ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]najua amekukwaza sana alipoponda Nissan brand na hajui wewe ni balozi wa brand za watata kama hizi......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha........ mtu ana Passo piston tatu humu lakini anaponda yaani.
 
Nashukru sana mkuu kwa ushauri wako. Asante pia kwa mapendekezo, ila kwa sasa nilikua nahitaji aina au zinazoelekea na gari nilizozitaja.
Pia nafuatilia ushauri wa wengine pia km ulivyosema
 

Binafsi nakushauri uchukue harrier sababu kuu ikiwa ni muonekano wa ndani ila kama hutojali kuhusu uziri wa ndani chukua Rav 4 sababu ina ulaji mzuri wa mafuta kuliko harrier na pia ni imara zaidi kuliko harrier.Rav 4 in gear box kubwa yenye uwiyano sana na engine wakati harrier ina gear box ndogo ambayo haina uwiyano na engine hivyo kuifanya ile mafuta zaidi kuliko Rav 4.Otherwise kama unapenda luxury harrier utaenjoy
NOTE:Ukinunua gari jitahidi sana kutumia user manual kama sio mvivu wa kusoma itakusaidia na gari itafumu
 
Nakushauli uchukue toyota suf, ipo juu unaweza kwenda nayo popote ,ina but kubwa ya kubeba mzigo, lkn ipo kijanza zaid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…