Mkuu wengine gari tumezipanda ukubwani...so sio priority ukilinganisha na mahitaji mengine. Nina miaka zaidi ya kumi kaka nafanya vitu vingine tu nilipoona vinaisha ndo nikawaza niangalie upande huu pia.Mtoa mada ina maana umejenga nyumba zote hizo ukiwa unakwea bodaboda? Kuna kama ka chai flani hivi. Unless hizo nyumba ziwe unga unga mwana ila mtu anayejenga nyumba mbili za kawaida hawezi kosa hata IST maana bei yake ni kama Tiles za nyumba moja tu
Real men na wapambanaji hujulikana kwa komenti km hizi. ASANTE mkuuMzee
Kwa namna ulivyojieleza nakutazama kama mhangaikaji asiyependa au anayependa but asiyekuwa na anasa---Maana yake hata muda wa kushinda na kutumia budget kubwa kwa matengenezo na visits za garage.
In that sense, mzee nenda kachukue Rav 4 pasipo kusita. Go go for it!!
Utaenda nayo popote, kwa barabara yoyote.
Mtoa mada hongera kwanza kwa kupambana na mpaka kufikia ulipo...
Kwa kuwa umeamua kuwa na SUV chipi hapa ndio ushauri wangu....
Binafsi nimeshatumia RAV 4 2006. Ilikua gari nzuri na imara. Issue yake kubwa ni lile tairi la nyuma ukiendesha sana rough roa inaulegeza ule mlango.
So sipendelei tairi la spair kukaa nyuma.
RAV 4 ya 2008-2010 ni nzuri tairi imeingizwa ndani na gari ina muonekano mzuri. Pia kutokana na bajeti yako kuwa mwisho 40m basi hizo zitakufaa....
Don't go for other brand out of toyota na nissan (mimi nilikuja kuopt for Dualis coz of budget).....
Go for TOYOTA RAV 4 2008-2010
Kuhusu site ya kuchagua ni moyo wako tu wa uvumilivu kutafuta mtandaoni..... Wote wana magari mazuri ila uwe mvumilivu na utenge muda wako ku search mtandaoni....
If you don't mind na kuondokana na usumbufu kuna vijana wanafanya hiyo kazi siku hizi. Unawalipa wanakuagizia mpk kufanya clearance na usajili..... (Nilitumia option hiyo baada ya kuchoka kutafuta mtandaoni).....
Good luc
Hapana. Kabla ya kuagiza anakuonyesha kila kitu. Picha na specification zote. Na wao wanatumia site hizi hizi kina beforward, TCV na nyingine.....Sasa mkuu mtu akiniagizia gari nitakuwa na uhakika gani na ubora wa gari hiyo?Si anaweza kunichagulia ambayo imechakaa sana?Si anaweza kunichagulia ambayo imeenda kilomita nyingi?
Karibu mkuu....Nashukru Mkuu sana mkuu kwa mawazo
Ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]najua amekukwaza sana alipoponda Nissan brand na hajui wewe ni balozi wa brand za watata kama hizi......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Suala la kujisikia mwanamke ukiendesha gari aina fulani ni suala binafsi na homon zako.
Sasa ukipewa hizo gari uendeshe itabidi upewe na taulo za kike usije ingia period ghafla yaani.
Kama gari zinaenda kwa jinsia basi IST na Vits zote ni za watoto wa sekondari sababu ni vidogo.Anipe nani? Umezoea vya kupewa?
Mimi sipewi ila najinunulia. Kamwe siwezi kununua Dualis. Kwa sababu, by my perception it is for women.
Kama unayo Dualis, basi Mkuu endelea kupush, ila ipo kikike zaidi.
Ha ha ha........ mtu ana Passo piston tatu humu lakini anaponda yaani.Ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]najua amekukwaza sana alipoponda Nissan brand na hajui wewe ni balozi wa brand za watata kama hizi......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nashukru sana mkuu kwa ushauri wako. Asante pia kwa mapendekezo, ila kwa sasa nilikua nahitaji aina au zinazoelekea na gari nilizozitaja.Mkuu, kwa ushauri wangu (nimezingatia sana suala la wewe kuwa ni mgeni kwenye sekta hii) ningekutoa hapo ulipolenga nikakupa chaguzi hizi hapa chini:
TOYOTA Pixis Epoch G, 2010>
HONDA Life G, Zest 2010>
NISSAN Moco, Otti 2010>
MITSUBISHI EK Wagon 2010>
DAIHATSU Mira, Move, Esse 2010>
SUZUKI Alto, Wagon R, Palette 2010>
SUBARU Stella, Pleo, Lucra 2010>
MAZDA Carol 2010>
Hizi gari zote siyo SUV na bajeti ni chini ya m15, ili usevu hela nyingine maana hujui ya mbele, ila zinakuwa msaada mkubwa kwako kwani utaokoka na mengi sana hasa spea na usumbufu wa gereji kwa gari ulizotaja wewe, ila ukipenda ulivyoamua napo ni sawa, wafuate walioshauri juu wameshauri vizuri sana pia.
Mkuu Kluger ya 2014 ni noma sana.Mchana napiga kazi ili nipate hela halafu usiku najifungia napiga ibada nakulia na mola wangu ili nipate hii ndinga.Kluger haujaiweka, RAV4 sio mbaya na hapo 3 kwakuwa gari yako ya kwanza sikushauri sana
Mkuu Kluger ya 2014 ni noma sana.Mchana napiga kazi ili nipate hela halafu usiku najifungia napiga ibada nakulia na mola wangu ili nipate hii ndinga.
View attachment 1874385View attachment 1874387View attachment 1874388
Ila wabongo bwana [emoji3][emoji3]Takataka tu hio.
Nawasalimu wakuu kwa jina la nguvu na uchakalikaji wetu.
Baada ya kupitia threads nyingi hapa na kujifunza mengi kuhusu magari nami natupia uzi hapa ili kupata ushauri.
Kiukweli mi mgeni sana wa magari hata kuendesha si mtaalam sana ila naweza sema sijakaa na gari tu nimesota kwa miaka 8 nasuhua bench kutimiza malengo mengine (nyumba ya wazazi kijijini nimemaliza na nyumba yangu mjini nimemaliza) nadhani mnajua ile hustle ya kuwa kichwa cha familia na umetoka kwenye umasikini wa kutupwa na baada ya kusoma ukoo mzima unakuangalia...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Mwaka huu nimejipinda nami nivute gari ya maana kidogo kwa matumizi ya familia na route ndefu km kwenda kijijini huko... (Naishi kanda ya kaskazini kwa rafiki zangu akina Mangi huku ila mimi ni mnyantuzu(Msukuma) kutoka kanda ya ziwa huko[emoji3][emoji3][emoji3]
Bajeti yangu ya gari inaanzia 30M-40M hivi, sasa ushauri nichague gari gani kati ya hizi?
1.Toyota
-RAV 4 New Model
-Lenus RX
-Harrier (Hapana nakubali ushauri)
-Vanguard (Hapana nakubali ushauri)
2.Nissan
-Muranno
-QSHANAI
-Dualis (hapana ila nakubali ushauri)
-X-Trail (hapana ila nakubali ushauri
3. SUZUKI
-Escudo Grand (Seat 7)
-Escudo (Seat 5)
Bajeti yangu inaangukia kwenye mid/lower SUV cars.
Kingine nataka kuagiza kutoka Japan (kulingana na maoni ya humu) ilq kuna jamaa yangu nimemshurikisha akasema bora nichukue yard but mimi nasita sababu ya kupata uzoefu wa yard kupitia jukwaa hili.
Pia naukiza ni kampuni gani nzuri kuagiza kati ya hizi
1.Be forwarded
2.SBT Japan
3.Enhance Japan
Natanguliza shukrani wa ushauri wenu na asanteni
Kwa nini?Takataka tu hio.