Ushauri: Nifanyaje niweze kupiga bao mbili au tatu?

KUNDULE

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
318
Reaction score
177
Yaani nikipiga moja tu mashine inalala, nifanyaje niweze kwenda round ya pili hapohapo mke wangu naye afurahie tendo la ndoa.
 
Ndio hapo sasa eti wengine waongeze wake nguvu zenyewe za soda
 
Unakuwa na wasiwasi wakati wa shughuli. Relax kisaikolojia halafu usipanie wahenga walisema mkamia maji hayanywi.
 
Hiyo I'd jamani lol
Mama upoo??? Embu tumsaidie huyu mtanzania mwenzetu!!!
yani nikipiga kimoja tu mashine inalala zzzzzzz nfanyaje niweze enda round ya pili hapohapo mke wangu naye afurahie tendo la ndoa

Ushawahi kujiunga na CHAWAPUTA??? na kama uliwahi ushajitoa???

Vipi maandalizi kabla ya mechi??? Romance and the alike?? Je mnafanya?? Au unamparamia tu kama kuku??

Nb. Angalia lishe yako...machips na mafanta punguza.
 

Atakua anaparamia kama kuku huyu. Ajipime kwenye maandalizi na concentration wakati wa kula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…