Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaa!! Hii si sahihi bana unapotosha. Game yoyote inataka mazoezi ili ujifunze jinsi ya kutumia pumzi yako vizuri, kubalance energy yako na kucontrol upigaji wa mashuti vile unavyotaka. na hii ndiyo njia pekee ya kufanya mazoezi hayo. Mbona mabondia wanapiga punchin bags kabla ya game???. Tujifunze banaAcha kupiga punyeto
Hiyo I'd jamani lol
kula maini ya beberu
Madhara ya chipsi mayai
Wanaume: Chipsi mayai naenda kupiga usalama wa taifa
Wanawake: Ukipenda chipsi mayai upende na mimba
Tatizo sio nyeto bali maandalizi na lishe ndo ishu........ukiwa na papara sana ndo inakuwa hvyo......muandae....mfanye achoke kabla hata hujaanza kazi...utajikuta ukipiga moja ye hataki tena.........wakat mwingine nyingi sio ishu............unaweza ukaenda hata 6 na bado demu akakudharau kesho...muhimu ni kugusa angle sahihi ili alegee na kuchoka kabla ya shughuli
Hakuna kitu kama hicho,watu sijui huu uzushi na uongo mnautoa wapi, mara mayai ya kware,mara mihogo,mara ngisi sijui pweza.Wacha kula chipsi mayai
Kula mihogo mibichi
Madhara ya chipsi mayai
Wanaume: Chipsi mayai naenda kupiga usalama wa taifa
Wanawake: Ukipenda chipsi mayai upende na mimba
I'd imenipotezea network...