USHAURI: Nifanye nini ili nipate mpenzi ifikapo siku ya Christmas?

USHAURI: Nifanye nini ili nipate mpenzi ifikapo siku ya Christmas?

Charlez kanumba

Senior Member
Joined
Nov 2, 2024
Posts
187
Reaction score
501
Mimi ni introvert nisiyejichanganya sana na watu,huwa siendi club wala sehemu zingine za starehe muda wangu mwingi huwa natumia kuongeza knowledge sababu kazi yangu inahitaji creativity ya hali ya juu hivyo hunifanya niwe bize.

Sasa ifikapo X Mass nataka nijaribu kuhudhuria kumbi ya starehe na ikiwezekana nipate pisikali ambayo nitajumuika nayo katika kula bata lakini sijui nitumie mbinu nitumie mbinu gani kufanikisha lengo langu hivyo.

Nahitaji ushauri wenu wadau.
 
Funga kibunda kama cha mil 3 hivi weka kwa pochi, ukilipa chochote hata kama ni cha buku toa pesa zote chomoa buku halafu lipa, watajileta tu.

Note: hakikisha unafanya hilo zoezi mbele ya macho ya warembo.
 
Mkuu hata hao wa sehemu za starehe unahitaji techniques?
We fika hiyo sehemu cheki manzi gani anakuvutia mtume waiter apeleke kinywaji anachotumia kisha mvute mezani ajoin baaaasi.
 
Kibunda unacho kama ndio mbona kazi rahisi sana nashangaa mtu anaehangaika na mademu wakati pesa anayo sikia pita maeneo ya chips Kila siku Kuna warembo mpaka miaka hii unaweza kuwaingiza kwenye kumi 18 Kwa chips Yao na nyama tu na ni wakali sana nunulia hata wa 5 hapo hukosi wawili wa kuchapa siku hiyo maana mtaani njaa Kali sana
 
Hii gia iliwahi kunisaidia sehemu, unatoa zote alafu unatarget akiwa anakuangalia bila kupepesa macho
Funga kibunda kama cha mil 3 hivi weka kwa pochi, ukilipa chochote hata kama ni cha buku toa pesa zote chomoa buku halafu lipa , watajileta tu.

Note: hakikisha unafanya hilo zoezi mbele ya macho ya warembo .
 
Back
Top Bottom