Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Sijaona tangazoKwamba mimi siliwezi bata hilo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaona tangazoKwamba mimi siliwezi bata hilo?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣introvert akitamka "kula bata" mimi kichwani inakuja picha ya Fanta orange!!🤣
Heineken sio kilevi ile ni starter!, ma whisky, brandy, tequila,rum, vodka hizi ndio ndude zakulewea!.Sio kulewa mkuu Heineken tatu tu ,unakuta kichwa kimesha changamka vya kutosha kujichanganya.
Hizo mimi napiga 20 najiona napaa kabisa , halafu pombe kali wala hazinisumbui kama bia sema nikizinywa nakula mno kitu ambacho sikitaki mkuu.Heineken sio kilevi ile ni starter!, ma whisky, brandy, tequila,rum, vodka hizi ndio ndude zakulewea!.
Heineken si unalia hata mkate zile acheni masihara!
tatizo mnafakamia tu pombe, pombe zimegawanyika kuna za ku digest na appetite!. mtakuja kutoka ulimi na pombe usipoiheshimu nayenywe hautakuheshimu ndo utasikia mtu kaanguka mtaroni n.kHizo mimi napiga 20 najiona napaa kabisa , halafu pombe kali wala hazinisumbui kama bia sema nikizinywa nakula mno kitu ambacho sikitaki mkuu.
Kwenye kali kuna Brandly , gin, vodka na whiskey ipi ni ipi mkuu?tatizo mnafakamia tu pombe, pombe zimegawanyika kuna za ku digest na appetite!. mtakuja kutoka ulimi na pombe usipoiheshimu nayenywe hautakuheshimu ndo utasikia mtu kaanguka mtaroni n.k
hizo zote ni liquor, wengi huzitumia kama appetizers maana huleta njaa na baada ya kula ndo mtu anaweza kunywa wine, ama liqueur kwaajili ya digestion.Kwenye kali kuna Brandly , gin, vodka na whiskey ipi ni ipi mkuu?
imi ni introvert kama wewe aisee introvert mungu aingilie kati huu ni zaidi ya ugonjwa wa ukimwi wazee usiombe kuwa introvertMimi ni introvert nisiyejichanganya sana na watu,huwa siendi club wala sehemu zingine za starehe muda wangu mwingi huwa natumia kuongeza knowledge sababu kazi yangu inahitaji creativity ya hali ya juu hivyo hunifanya niwe bize, sasa ifikapo X mass nataka nijaribu kuhudhuria kumbi ya starehe na ikiwezekana nipate pisikali ambayo nitajumuika nayo katika kula bata lakini sijui nitumie mbinu nitumie mbinu gani kufanikisha lengo langu hivyo nahitaji ushauri wenu wadau.
VizuriFunga kibunda kama cha mil 3 hivi weka kwa pochi, ukilipa chochote hata kama ni cha buku toa pesa zote chomoa buku halafu lipa , watajileta tu.
Note: hakikisha unafanya hilo zoezi mbele ya macho ya warembo .