Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitumie njia zipi ili nifaulu pcb vizuri(nisomaje,ratiba ya kujisomea ikaaje,nieleweje topics kiurahisi zaidi nk)
Nitumie njia zipi ili nifaulu pcb vizuri(nisomaje,ratiba ya kujisomea ikaaje,nieleweje topics kiurahisi zaidi nk)
omba ushauri kuielewa PCB sio kufaulu, Angalia Movie ya Kihindi inaitwa 3 ------, itaku inspire sana,
Kijana pcb c masomo ya lelemama hata wale vichwa sana nilazima wakomae ndo wanatoka..ushauri wangu kwa physics na chemistry licha ya kusoma na kuelewa solve maswali mengi kadili uwezavyo..hasa past papers hyo haitatosha tafuta sehemu.za tuition ambazo wanatoa test paper zenye standard ya necta.hzo piga nyingi kujipima pia kuiprove speed kwa mara nying unaweza ukawa.maswal unafamu but muda unakaba..ss biology ni msuli kwenda mbele ukiambata na kuelewa..al tha bestNitumie njia zipi ili nifaulu pcb vizuri(nisomaje,ratiba ya kujisomea ikaaje,nieleweje topics kiurahisi zaidi nk)
Mkuu PCB ni combination ambayo naiheshimu sana kutokana na kusoma karibu masomo yote ya sayansi, actually ni PCB na M - au siku hizi some la hesabu alifundishwi tena kama subsidiary ukweli hakuna cha subsidiary wala nini unasoma hesabu kweli kweli.
Ushauri wangu ni kwamba si vigumu kusoma Physics, Chemistry na hesabau kwa kuwa masomo hayo yote yana formula i.e mathematical intensive save Organic Chemistry, kibembe kiko kwenye some la Biolojia, hilo mkuu unapashwa kusoma kama mtu anaye soma somo la Historia, nikukalili tu hakuna jinsi.
Ujikite sana kufanya mazoezi kwa kujibu maswali ya past papers, wana kawaida ya kurudia rudia maswali wanabadilisha kidogo hapa na pale lakini ukiangalia kwa makini na yale yale tu, don't you slack katika kufanya mazoezi mara kwa mara hasa somo la Biolojia, kitu kingine uwe makini sana kwenye somo la practicals za mwisho mwisho kabla hamjafanya mtihani wa mwisho, mara nyingi walimu huwa na kawaida ya kuwapa practicals ambazo wanajua zitakuwa kwenye mtiani wa mwisho i.e kumaliza form six lakini awambii sasa husipokuwa makini ukasepa kwenda kusikiliza miziki ya Bongo/Diamond utaharibikiwa - U have been warned mkuu so take care. Goodluck.