Ipananga kulwa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2017
- 573
- 293
chukua maji yasiyo ya baridi, kata kipande kimoja cha limau / ndimu kuamkia kwenye glas ya maji, kunywa kila cku asubuhi,, kabla hujala kitu chochote na ukae kwa angalau nusu saa kabla ya kula ili maji hayo yafanye kazi vizuri , maji ya limau/ huondoa hamu ya kula,, hivyo husaidia kupunguza za kula fanya hivyo mpaka upate matokeoMsaada anaejua njia za Asili kupunguza mwili uzito na tumbo Nina kilo112 umri 24yrs msaada nfanyeje nakuwa mzito kinoma uvivu na kuchoka
Kunyua maji ya moto asubui na usiku then stay away from all cold drinks such as beers. And soft drinks Napia usile ndizi mara kwamara pia ule chakula chamoto most of the time [emoji354] exercise in the morning
msaidie mwenzako mkuu[emoji38] [emoji38] [emoji38]Simple sana kakope bank alafu usifanye marejesho fasta unakuwa slim
Inawezekana maana hata mimi siku hizi nafanya mazoezi lakini pipo wanalalamika naongezeka sanaMkuu unene Ni nature ya mtu,wala usihangaike Na mazoezi utanenepa Mara 6 zaidi ya ulivyo. Cha msingi jikubali Na utumie unene wako Kama fursa
Thnxchukua maji yasiyo ya baridi, kata kipande kimoja cha limau / ndimu kuamkia kwenye glas ya maji, kunywa kila cku asubuhi,, kabla hujala kitu chochote na ukae kwa angalau nusu saa kabla ya kula ili maji hayo yafanye kazi vizuri , maji ya limau/ huondoa hamu ya kula,, hivyo husaidia kupunguza za kula fanya hivyo mpaka upate matokeo
Kula like mkuuInawezekana maana hata mimi siku hizi nafanya mazoezi lakini pipo wanalalamika naongezeka sana
Mkuu,hiyo avatar ni wewe ? Na kama ni wewe je una undugu wowote na rais ?24yrs una 112kg?
Mie wakati nina 26yrs nilikuwa na 57kg.
Usimtishe kg 57 miaka 26 we utakua na urefu wa 145-160 cm....24yrs una 112kg?
Mie wakati nina 26yrs nilikuwa na 57kg.
Duh nadhani ulikuwa na lishe hafifu sana24yrs una 112kg?
Mie wakati nina 26yrs nilikuwa na 57kg.
Asipochukua tahadhari shinikizo la juu la damu na kisukari vitamuhusu.Dahhh mdogo wangu miaka 24 kg 112....uwiiiiii piga zoezi kwa sana jitahidi kila unapohisi njaa kula matunda mdogo wangu mwehhh!
Teh tehMkuu,hiyo avatar ni wewe ? Na kama ni wewe je una undugu wowote na rais ?
Napga kazi ofisi flan flan but za ofisi means most tym npo na kompyuta 9 hoursBwana kifutu kwani uma urefu gani?? Unajishughulisha na nini? Routine yako ya siku ikoje?
Kwanini usifanye mazoezi mkuu?Msaada anaejua njia za Asili kupunguza mwili uzito na tumbo Nina kilo112 umri 24yrs msaada nfanyeje nakuwa mzito kinoma uvivu na kuchoka
Kipimo cha BMI siyo legit katika kila kesi, usikitumie kama kuhalalisha chochote kwa huyu mleta uzi.Bwana kifutu kwani uma urefu gani?? Unajishughulisha na nini? Routine yako ya siku ikoje?