nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Ni mbeguNdio nite
Zaka
Fungu la 10
Sadaka
Adonai
N. K
Bado tu hela inabaki?
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mbeguNdio nite
Zaka
Fungu la 10
Sadaka
Adonai
N. K
Bado tu hela inabaki?
#YNWA
KabisaSadaka yoteee hiyo na hela inabaki?
#YNWA
Punguza matumizi yasiyo ya lazima,kuwa na nidhamu ya pesaNaomba ushauri cha kufanya ili niweze kusave pesa zangu maana nikikamata milioni 1 ndani ya Wiki moja inaisha, mpaka najiona nina jini Makata fedha...😁😁😁
Zaka ndio fungu la 10Ndio nite
Zaka
Fungu la 10
Sadaka
Adonai
N. K
Bado tu hela inabaki?
#YNWA
Akilima nani atahubiri injili,kila mtu na wito wake acha roho ngumu toa zaka na sadaka1. Ndio nitoe......
Zaka
Fungu la 10
Sadaka
Adonai
N. K
Bado tu hela inabaki?
2. Halafu tena,
Kwanini nitoe kwa kuwapa wachungaji na sio yatima, wajane na wasiojiweza?
Huyo mchungaji kama mshahara hautoshi, si alime kama mimi?
#YNWA