Ushauri: Nikaripoti Wizara ya Afya Chato Zonal Hospital au Milioni 70 nifungue health center yangu?

Ushauri: Nikaripoti Wizara ya Afya Chato Zonal Hospital au Milioni 70 nifungue health center yangu?

elishaezekiel

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2016
Posts
563
Reaction score
1,464
Wakuu nipo katika hiyo dillema. Kusema kweli Mimi ni business oriented man.

I judge everything in terms of money, not how it makes my ego feel. Sasa Wizara ya Afya imenipangia Chato as Medical officer 2.

Wakati namaliza internship kuna boss is my friend akatokea kuniamini na akawa ananishirikisha mishe zake nyingi- He is a billionaire in Tanzania currency.

Amenisihi niachane na ajira kabisa na he is willing to Give me 70M bila riba lakini nifungue Kituo cha afya.

Jengo lipo tayari. Location ipo na ina population kubwa. Siyo mjini but ni very strategic location kwa hiyo investment.

Vipi nipige chini ajira niwekeze?

Boss anataka niwepo karibu nimsaidie na yeye anisaidie.

Kuna benefits nyingi sana, 1M kutembea nayo ni kama laki mfukoni.

Wakuu nifanye nini? Ushauri tafadhari
 
Wakuu nipo katika hiyo dialema.
Kusema kweli Mimi ni business oriented man.

I judge everything in terms of money, not how it makes my ego feel.
Sasa Wizara ya Afya imenipangia Chato as Medical officer 2.

Wakati namaliza internship kuna boss is my friend akatokea kuniamini na akawa ananishirikisha mishe zake nyingi- He is a billionaire in Tanzania currency.

Amenisihi niachane na ajira kabisa na he is willing to Give me 70M bila riba lakini nifungue Kituo cha afya.
Jengo lipo tayari
Location ipo na ina population kubwa
Siyo mjini but ni very strategic location kwa hiyo investment.

Vipi nipige chini ajira niwekeze?

Boss anataka niwepo karibu nimsaidie na yeye anisaidie.

Kuna benefits nyingi sana, 1M kutembea nayo ni kama laki mfukoni.

Wakuu nifanye nini? Ushauri tafadhari
Unaweza endelea na maamuzi ya kutokwenda chato iwapo tu:-
1.Hio milioni 70 amekupa "cash" kwenye akaunti yako na kwa maandishi
2.Hilo jengo amekupa umiliki kisheria na kwa maandishi.
Kinyume na hapo anza kutafuta mali zako mdogo mdogo,hakuna urafiki kati ya tajiri na masikini
 
Wakuu nipo katika hiyo dialema.
Kusema kweli Mimi ni business oriented man.

I judge everything in terms of money, not how it makes my ego feel.
Sasa Wizara ya Afya imenipangia Chato as Medical officer 2.

Wakati namaliza internship kuna boss is my friend akatokea kuniamini na akawa ananishirikisha mishe zake nyingi- He is a billionaire in Tanzania currency.

Amenisihi niachane na ajira kabisa na he is willing to Give me 70M bila riba lakini nifungue Kituo cha afya.
Jengo lipo tayari
Location ipo na ina population kubwa
Siyo mjini but ni very strategic location kwa hiyo investment.

Vipi nipige chini ajira niwekeze?

Boss anataka niwepo karibu nimsaidie na yeye anisaidie.

Kuna benefits nyingi sana, 1M kutembea nayo ni kama laki mfukoni.

Wakuu nifanye nini? Ushauri tafadhari
kwani nelly anasemaje?
 
Hao matajiri itakuwa unawasikia tu.
 
Hiyo pesa kashindwa kukupa kabla hujapata ajira ndio akupe leo?

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Hapo ajiongeze na kama ni mtu wa imani amuombe sana Mungu amuonyeshe njia sahihi ni ipi.

Hapo nimekuelewa sana Mkuu yaani baada ya kupata ajira ndio anajifanya anataka kumpa msaada.

Mi naona kama anakupa hizo hela akupe kabla deadline ya kuripoti haijafika ili usikose vyote.

Ila yote tisa kumi biashara kipaji na inahitaji kujitoa haswa je ushawahi kuwa na uzoefu nayo hata kidogo au ndio unaanza.

Mana biashara inaweza kukufanya ukachanganyikiwa pale utaposhangaa mtaji wote umekata na unadaiwa hela za watu.

Mimi ningekuwa wewe ningechagua hiyo kazi kwasababu ina security pili sitakuwa na deni na yeyote.

Pia naweza kuitumia hiyo kazi kufungua biashara hiyohiyo japo sitakuwa na mtaji mkubwa kihivo ila hata kikubwa kilianza na kidogo.

Nachoogopa hakunaga pesa ya bure labda akupe Baba au Mama yako lakini mtu baki akupe tu tena bila riba sio rahisi kihivyo.

Huyo atakuwa na target zake ambazo huko mbele zinaweza kuwa mwiba kwako na yawezekana pia ana nia nzuri tu.

Kila la kheri Mkuu kufanya maamuzi yenye busara.
 
Wakuu nipo katika hiyo dialema.
Kusema kweli Mimi ni business oriented man.

I judge everything in terms of money, not how it makes my ego feel.
Sasa Wizara ya Afya imenipangia Chato as Medical officer 2.

Wakati namaliza internship kuna boss is my friend akatokea kuniamini na akawa ananishirikisha mishe zake nyingi- He is a billionaire in Tanzania currency.

Amenisihi niachane na ajira kabisa na he is willing to Give me 70M bila riba lakini nifungue Kituo cha afya.
Jengo lipo tayari
Location ipo na ina population kubwa
Siyo mjini but ni very strategic location kwa hiyo investment.

Vipi nipige chini ajira niwekeze?

Boss anataka niwepo karibu nimsaidie na yeye anisaidie.

Kuna benefits nyingi sana, 1M kutembea nayo ni kama laki mfukoni.

Wakuu nifanye nini? Ushauri tafadhari
Una uhakika kiasi gani kuwa hiyo 70M utaipata? Labda mkaandikishane..!! Hayo mambo ya kuweka imani kwa mtu mmoja anayeweza badili maamuzi muda wowote tuwe makini nayo..!! Vile vile ikitokea akifa leo nini kinatokea?
 
Short term pleasure for long term pain is what kills many dreams of young generations siku boss wako akija kukutimua kama mbwa ndo utajua kuwa dunia duara.
 
Umenikumbusha, kuna jamaa alikua anasimamia "site" ya boss mmoja, sasa siku 1 huyu boss kaja kukagua "site" wakawa wanapiga stori.

Jamaa akapigiwa simu kua mchongo wa kazi umetiki, boss si akasikia bhana, ikabidi amuulize hiyo kazi utakua unalipwa shingapi? Jamaa akamtajia boss wake kiasi cha mshahara, boss akasema mshahara mdogo hivo, achana nayo wewe simamia hapa ukimaliza nakupa mtaji wa maana. Jamaa akadata, akatema kazi akabaki kusimamia "site".

Kazi imefika 75% jamaa akaunda zengwe akamtimua mshikaji. Sasa hivi yupo kitaa unga unga mwana.

NB: Usifikiri unapendwa sana.
 
Back
Top Bottom