Ushauri: Nikaripoti Wizara ya Afya Chato Zonal Hospital au Milioni 70 nifungue health center yangu?

Ushauri: Nikaripoti Wizara ya Afya Chato Zonal Hospital au Milioni 70 nifungue health center yangu?

Wakuu nipo katika hiyo dillema. Kusema kweli Mimi ni business oriented man.

I judge everything in terms of money, not how it makes my ego feel. Sasa Wizara ya Afya imenipangia Chato as Medical officer 2.

Wakati namaliza internship kuna boss is my friend akatokea kuniamini na akawa ananishirikisha mishe zake nyingi- He is a billionaire in Tanzania currency.

Amenisihi niachane na ajira kabisa na he is willing to Give me 70M bila riba lakini nifungue Kituo cha afya.

Jengo lipo tayari. Location ipo na ina population kubwa. Siyo mjini but ni very strategic location kwa hiyo investment.

Vipi nipige chini ajira niwekeze?

Boss anataka niwepo karibu nimsaidie na yeye anisaidie.


Vipi Mkuu Kituo cha Afya kinaendeleaje..

Kuna benefits nyingi sana, 1M kutembea nayo ni kama laki mfukoni.
Vipi mkuu Milion 1 Bado ni kama Laki Mfukon?
 
Zote zina faida chagua kule moyo wako unataka.

Ingekuwa TAMISENGA ningekupa BIG NOOO!!

Kati ya Taasisi za kichovu za Serikali kufanya kazi TAMISENGA na ma underdog wake ndio kabisa.

Kwanza wanakutupa pori huko vumbi jekundu hata kama Chuo ulikuwa na first Class au upper second with honors.

Pili Utachezea ma TG.... mishahara ya laki laki wewe kuiona milioni hadi ule ugali dagaa miezi 3 mfululizo.

Tatu hakuna posho za overtime, ya nyumba, n.k

Seminar hadi uforce mambo na kama una bosi na ka boss Fulani Kako idarani pale kwa mkurugenzi katahakikisha kanakuchinjia NUNGWI [emoji28].

Huko bush utakakokuwa unaishi Via TAMISENGA life wanakijiji hatataka wakuone una kabiashara Fulani kwa kuongeza maokoto Sababu watasema "HOW COMES UKINGE MSHAHARA HALAFU UTUPULUSE NA VISENTI VYETU"

wanaweza kuku bewitch.
 
Watu wa biashara wa kiukweli sio rahisi hata ku-apply hiyo kazi ya medical officer. Pia mtu wa baishara hadi muda huu angeshahakikisha kuwa kweli hiyo 70m ipo au ni janja ya tajiri? WEWE SIO MTU WA BIASHARA. Inaonekana unafit zaidi ukisimamiwa kwenye kazi ndo maana nahisi tajiri kaona akifungua hiyo biashara utamfaa kuiendesha chini ya usimamizi wake. Mimi sikushauri chochote zaidi ya kukutakia kila la heri kwenye uamuzi wako wowote.
 
Wakuu nipo katika hiyo dillema. Kusema kweli Mimi ni business oriented man.

I judge everything in terms of money, not how it makes my ego feel. Sasa Wizara ya Afya imenipangia Chato as Medical officer 2.

Wakati namaliza internship kuna boss is my friend akatokea kuniamini na akawa ananishirikisha mishe zake nyingi- He is a billionaire in Tanzania currency.

Amenisihi niachane na ajira kabisa na he is willing to Give me 70M bila riba lakini nifungue Kituo cha afya.

Jengo lipo tayari. Location ipo na ina population kubwa. Siyo mjini but ni very strategic location kwa hiyo investment.

Vipi nipige chini ajira niwekeze?

Boss anataka niwepo karibu nimsaidie na yeye anisaidie.

Kuna benefits nyingi sana, 1M kutembea nayo ni kama laki mfukoni.

Wakuu nifanye nini? Ushauri tafadhari
Kama wewe ni medical personnel na hujui kutofautisha kati ya health center na dispensary, inasikitisha sana.
 
Zote zina faida chagua kule moyo wako unataka.

Ingekuwa TAMISENGA ningekupa BIG NOOO!!

Kati ya Taasisi za kichovu za Serikali kufanya kazi TAMISENGA na ma underdog wake ndio kabisa.

Kwanza wanakutupa pori huko vumbi jekundu hata kama Chuo ulikuwa na first Class au upper second with honors.

Pili Utachezea ma TG.... mishahara ya laki laki wewe kuiona milioni hadi ule ugali dagaa miezi 3 mfululizo.

Tatu hakuna posho za overtime, ya nyumba, n.k

Seminar hadi uforce mambo na kama una bosi na ka boss Fulani Kako idarani pale kwa mkurugenzi katahakikisha kanakuchinjia NUNGWI [emoji28].

Huko bush utakakokuwa unaishi Via TAMISENGA life wanakijiji hatataka wakuone una kabiashara Fulani kwa kuongeza maokoto Sababu watasema "HOW COMES UKINGE MSHAHARA HALAFU UTUPULUSE NA VISENTI VYETU"

wanaweza kuku bewitch.
Hahaha mkuu una ongea kwa experience nini, mana umechora ramani nzima.
 
Back
Top Bottom