Ushauri: Nikifanya mapenzi presha hupanda sana, nini tatazo?

Ushauri: Nikifanya mapenzi presha hupanda sana, nini tatazo?

Dawa ni Ndogo tu
Acha ngono kabsa

sent from my Nokia kidole juu (mshindi) using jamiiforums Mobile app
 
Nahitaji ushauri kwa wataalam wale waliopo huku.. nilikua sijajua hili tatizo ila limenikuta sikujua why.. Siku za nyuma nilikua nikingonoka nilikua napatwa na hali isiyo kawaida hutokwa Na jasho Sana kichwani Na pia kichwa huanza kuniuma badaye hujisikia sehemu ya mgongo kuniuma Sana Na kuishiwa nguvu nilijaribu kuomba ushauri nikaambiwa mybe ni uchomvu tuu ila hali imezidi juzi nikiwa faragha napata vyangu hali ilinitokea ghafla hvyo hvyo nilipowahi hospital nilipimwa BP nikakuta ipo 140/80 hii hali imeniongezea waswas nisijue tatizo ni nini nilikua naomba ushauri hili linachangiwa na nini? Na kwa hii BP je ipo juu sana na je itaweza nisababishia kiharusi nikiendelea kungonoka? ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona pressure ya kawaida sana hiyo. Wasiwasi wako tu.
Fanya mazoezi ya viungo mara kwa mara utakaa sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni kawaida wakati wa kungonoka mapigo ya moyo huongezeka pamoja na msukumo wa damu.


Jitahidi kunywa maji ya kutosha kabla ya tendo
 
Nahitaji ushauri kwa wataalam wale waliopo huku.. nilikua sijajua hili tatizo ila limenikuta sikujua why.. Siku za nyuma nilikua nikingonoka nilikua napatwa na hali isiyo kawaida hutokwa Na jasho Sana kichwani Na pia kichwa huanza kuniuma badaye hujisikia sehemu ya mgongo kuniuma Sana Na kuishiwa nguvu nilijaribu kuomba ushauri nikaambiwa mybe ni uchomvu tuu ila hali imezidi juzi nikiwa faragha napata vyangu hali ilinitokea ghafla hvyo hvyo nilipowahi hospital nilipimwa BP nikakuta ipo 140/80 hii hali imeniongezea waswas nisijue tatizo ni nini nilikua naomba ushauri hili linachangiwa na nini? Na kwa hii BP je ipo juu sana na je itaweza nisababishia kiharusi nikiendelea kungonoka? ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kusimamia vidole
 
Nenda hospital kwa uchunguzi zaidi usiogope kumwambia doc kila kitu kama ulivyoeleza hapa ili akusaidie. Mficha maradhi kifo humuumbua
 
Nahitaji ushauri kwa wataalam wale waliopo huku,

Nilikua sijajua hili tatizo ila limenikuta sikujua kwanini. Siku za nyuma nilikua nikingonoka nilikua napatwa na hali isiyo kawaida hutokwa na jasho sana kichwani na pia kichwa huanza kuniuma baadae hujisikia sehemu ya mgongo kuniuma sana na kuishiwa nguvu.

Nilijaribu kuomba ushauri nikaambiwa labda ni uchomvu tuu ila hali imezidi juzi nikiwa faragha napata vyangu hali ilinitokea ghafla hivyo hivyo nilipowahi hospitali nilipimwa BP nikakuta ipo 140/80.

Hii hali imeniongezea wasiwasi nisijue tatizo ni nini, nilikua naomba ushauri hili linachangiwa na nini? Na kwa hii BP je ipo juu sana na je itaweza nisababishia kiharusi nikiendelea kungonoka?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii presha ni normal tu, utakuwa ni uchovu tu
 
Mkuu ,Normal pressure ni 115/70 mpaka 130/90

Achana na Google, nakusisitiza hiyo presha ni normal. Ukitaka ufafanuzi zaidi muone Daktari wa moyo au physician akueleweshe.

Ila hypertension haina direct translation kama hiyo na kwa sasa WHO wametoa new guideline.
Sasa 140/80 haiwezi kuwa presha kupanda sana
Napata tu uvivu kuandika hapa
 
Back
Top Bottom