Ushauri: Nikipiga goli moja uume unachelewa kusimama

Ushauri: Nikipiga goli moja uume unachelewa kusimama

hapana.. huwa sometime hata bao mbili kitu kinakuwa kimesimama wima tu. ni suala la kisaikolojia. nliwahi wapa darasa vijana kuhusu suala la hili la kupiga bao zaidi ya moja bila mashine kulala... mbili kwa mpigo.... ni rahisi tu. tena inakuwa kama unafuta lile la kwanza so unaanza upya kutafuta waarabu waje.. unaweza chukua hata masaa mawili kama unafuata kanuni.. hapo wakija tena unaweza endelea ikiwa bado una moto wako .. au sas ando mashine italala kwa kuchoka kwa kazi ndefu............
heb fanya kunitag kwenye huo uzi wako
 
Zingatia ulaji wako kula vizuri a well balanced diet fanya mazoezi inavyoshauriwa
Na akumbuke kula na kulala mapema pia maana watu kuamka asubuhi kwenda kazini unarudi saa 11 unaingia kitaa mpaa saa 3 ama 4 ndo unakula mwisho wa siku kufikia saa 5 ndio unataka kulala na kuomba game wakati huo huo mwili unahitaji kupumzika na wakati huo mwili upo kwenye process ya kukitumia kile chakula inaanza.
 
hapana.. huwa sometime hata bao mbili kitu kinakuwa kimesimama wima tu. ni suala la kisaikolojia. nliwahi wapa darasa vijana kuhusu suala la hili la kupiga bao zaidi ya moja bila mashine kulala... mbili kwa mpigo.... ni rahisi tu. tena inakuwa kama unafuta lile la kwanza so unaanza upya kutafuta waarabu waje.. unaweza chukua hata masaa mawili kama unafuata kanuni.. hapo wakija tena unaweza endelea ikiwa bado una moto wako .. au sas ando mashine italala kwa kuchoka kwa kazi ndefu............
Hii ni nzuri zaidi kwa yule ambae hatumii condom maana wakati mwingine condom huharibu mambo , unakuta wazungu wametoka lakini kitu bado kigumu, at the time unataka kuibadilisha kitu kinasinyaa
 
Fanya mazoez mkuu yale utayohakikisha yanakutoa jasho sanaa, hyo n k ufup tu yatakusaidia na pia andaa akil yako kwake kabla haujampanda na mueleze na yeye anatakiwa asichoke kukuandaa hata ukitema ilo moja naiman kama atachukua hatua ya kukutia hamu tena kwa kaul nzur za mah*b na michezo furan mbona Mkuu Mambo yatakua poa tu! Anakosea anapokusemanga iv coz hata k akil anakuaribu.
 
Na akumbuke kula na kulala mapema pia maana watu kuamka asubuhi kwenda kazini unarudi saa 11 unaingia kitaa mpaa saa 3 ama 4 ndo unakula mwisho wa siku kufikia saa 5 ndio unataka kulala na kuomba game wakati huo huo mwili unahitaji kupumzika na wakati huo mwili upo kwenye process ya kukitumia kile chakula inaanza.
Haha ni kweli kabisa
 
Nina wiki mbili sasa nikifanya mapenzi na mpenzi wangu najishanga nikimpiga goli moja tu uume unalala na unachelewa kusimama.

Nanukuu anavyonambia ''wewe sio bure, mara wewe kama umenichoka niambie mi nataka bado'' mwisho wa kunukuu.

Najikuta mpaka nataka nijiingize kwenye vishawiahi vya kutumia madawa ili tatizo nalitatuaje, ushauri wenu wana JF.
kwani unataka uwahi unakimbizwa relax ww sex sio ugomvi au umenunua huyo
 
mkuu punguza kula chips maana chips zimewaathiri mno wanaume wengi wa dar
 
hapana.. huwa sometime hata bao mbili kitu kinakuwa kimesimama wima tu. ni suala la kisaikolojia. nliwahi wapa darasa vijana kuhusu suala la hili la kupiga bao zaidi ya moja bila mashine kulala... mbili kwa mpigo.... ni rahisi tu. tena inakuwa kama unafuta lile la kwanza so unaanza upya kutafuta waarabu waje.. unaweza chukua hata masaa mawili kama unafuata kanuni.. hapo wakija tena unaweza endelea ikiwa bado una moto wako .. au sas ando mashine italala kwa kuchoka kwa kazi ndefu............
Gudume tupe somo kaka mkubwa
 
Back
Top Bottom