Ushauri: Nile nini ili ninenepe?

Ushauri: Nile nini ili ninenepe?

Kula vyakula vyenye mafuta kwa wingi mfano kiti moto na nyama nyingine zenye mafuta mfano nundu.Pia piga mayonaize kwa sana.Ukiona imeshindikana piga vidonge vya mchina.But all in in all nimekushangaa sana sijui wewe unatoka dunia ipi.Yaani watu wanapambana wapungue eti wewe unataka kunenepa du
 
Kula vyakula vyenye mafuta kwa wingi mfano kiti moto na nyama nyingine zenye mafuta mfano nundu.Pia piga mayonaize kwa sana.Ukiona imeshindikana piga vidonge vya mchina.But all in in all nimekushangaa sana sijui wewe unatoka dunia ipi.Yaani watu wanapambana wapungue eti wewe unataka kunenepa du[ Ndio nataka kunenepa au niwe na mwili wenye uzito. Kwa maana hapo mwanzo nilikuwa mnene kiasi. Sasa hv hata nguo nikivaa zinapwaya.
 
mimi nipo rafiki
kweli unisake mimi wakati unajua pa kunipata
sijaona rangi nyekundu ikiniita
karibu pale kijiweni huwa nakuwepo muda mwingi.

natamani sana kusikia kutoka kwako rafiki.


Niambie rafiki upo afadhali nimekukuta hapa nakusaka kama pesa
 
Urefu na uzito wako wa sasa vipimo vyake ni vipi?[/Nina kilo 60 Urefu ni ft 5


Kwa uzito na urefu wako Body Mass Index (BMI) yako ni 27.4 ukizidisha uzito ulio nao (ambao utazidi kwa kuzidisa unene) BMI itaongezeka na utakua kwenye hatari ya kupata kisukari na mafgonjwa mengine ya moyo. Ni vyema BMI iwe kati ya 19 na 26.
 
nakushauri ubakie hivyo hivyo tu, ukishanenepa ukaona kuwa ulikosea step,ni ngumu sana kurudi kuwa mwembamba.

Nyama iwe kitimotosss afu supu sana usisahau mlo wako uhusishe vyakula vyenye mafuta na vinywaji vyenye sukari hapo lazina uwe kibonge ndani ya muda mfupi sana. Onyo usirudi hapa kuomba ushauri jinsi ya kukonda.
 
Kula sana nyama, mayai, samaki, pamoja na weight gainer shakes.

942054_10200711235795639_8013934_n.jpg
 
pamoja na vyakula vyote ulivyo ambiwa ule ni vyema ukapata kirutubisho lishe ambacho kinasaidia kufyonza virutubisho vyote muhimu vinavyotakiwa ili kuboresha na kuupa mwili nguvu. Kama kweli utahitaji kirutubisho hicho ni PM nitakuelekeza.
 
Nilikua mwembamba (65kg) nikawa natamani unene nikanenepa (89) nikaona shida tupu sa hv najipunguza (i am 84 now) maana kitambi kilikua kimenikumbuka na ufanisi ukaanza kupotea....
Unene ni ugonjwa ndugu angalia urefu wako na uzito wako km vnaendana ukiona vnatosha maintain ukiona bmi ni ndogo ongezeka na km imezid jipunguze
 
Nilikua mwembamba (65kg) nikawa natamani unene nikanenepa (89) nikaona shida tupu sa hv najipunguza (i am 84 now) maana kitambi kilikua kimenikumbuka na ufanisi ukaanza kupotea....
Unene ni ugonjwa ndugu angalia urefu wako na uzito wako km vnaendana ukiona vnatosha maintain ukiona bmi ni ndogo ongezeka na km imezid jipunguze



We ulitumia nini. Ulikula vyakula gani
 
Back
Top Bottom