Kula vyakula vyenye mafuta kwa wingi mfano kiti moto na nyama nyingine zenye mafuta mfano nundu.Pia piga mayonaize kwa sana.Ukiona imeshindikana piga vidonge vya mchina.But all in in all nimekushangaa sana sijui wewe unatoka dunia ipi.Yaani watu wanapambana wapungue eti wewe unataka kunenepa du[ Ndio nataka kunenepa au niwe na mwili wenye uzito. Kwa maana hapo mwanzo nilikuwa mnene kiasi. Sasa hv hata nguo nikivaa zinapwaya.
Niambie rafiki upo afadhali nimekukuta hapa nakusaka kama pesa
Jamani nataka ninenepe nile nini?
Wale jamaa wanaokunyonga usiku ndio wanaokukondesha.[Umetumia kipimo gani kungamua hlo?
kula dawa za kichina.[ sitaki dawa nataka lishe.
bia gani?
Urefu na uzito wako wa sasa vipimo vyake ni vipi?[/Nina kilo 60 Urefu ni ft 5
Kwa uzito na urefu wako Body Mass Index (BMI) yako ni 27.4 ukizidisha uzito ulio nao (ambao utazidi kwa kuzidisa unene) BMI itaongezeka na utakua kwenye hatari ya kupata kisukari na mafgonjwa mengine ya moyo. Ni vyema BMI iwe kati ya 19 na 26.
K.....na Bariiiiiiiidi[ Sijakupat vizuri!
kula dawa za kichina.
nakushauri ubakie hivyo hivyo tu, ukishanenepa ukaona kuwa ulikosea step,ni ngumu sana kurudi kuwa mwembamba.
Kula sana nyama, mayai, samaki, pamoja na weight gainer shakes.
Nguruwe a.k.a Mbuzi katolikiJamani nataka ninenepe nile nini?
Kunywa ndoo moja ya lita 20 za mafuta utanenepa ndugu
Nilikua mwembamba (65kg) nikawa natamani unene nikanenepa (89) nikaona shida tupu sa hv najipunguza (i am 84 now) maana kitambi kilikua kimenikumbuka na ufanisi ukaanza kupotea....
Unene ni ugonjwa ndugu angalia urefu wako na uzito wako km vnaendana ukiona vnatosha maintain ukiona bmi ni ndogo ongezeka na km imezid jipunguze