Ushauri: Nile nini ili ninenepe?


mi nina futi tano na inch tatu uzito wa kilo 55 je vinaendana hata mi natamani kuwa bonge lol
 
We ulitumia nini. Ulikula vyakula gani

Mwendo wa nyama choma za kila aina mbuzi ngombe mkuu wa meza
Mayai, chips, soseji pendelea kula vya kukaanga na kuchoma
Ukiweza bia moja daily ku boost kasi itakua vyema ndani ya miezi mi 3-6 kilo 15 zaidi zitakuhusu
all in all ridhika tu sio unakula kimawazo
 
kimsingi chakula ni kwa ajili ya afya si kunenepa
 
kuwa unachemsha mafuta ya kupikia kila cku unakunywa lita moja. ila ujue unene ni presha tu
 
Mimi nina kg 75 nataka nipige 82
ila zinaongezeka kwa kasi ndogo sana
napiga mazoezi sana,nakimbia km 5 kila siku naenda jim kila weekend
pia nakula chakula,ila nahisi nakosea kwenye msosi
 
Mimi nina kg 75 nataka nipige 82
ila zinaongezeka kwa kasi ndogo sana
napiga mazoezi sana,nakimbia km 5 kila siku naenda jim kila weekend
pia nakula chakula,ila nahisi nakosea kwenye msosi



Kwani jim inaomgeza uzito wa mwili?
 
Kama BMI yako ni nzuri huna haja ya kuongeza uzito ,jikubali na ujifurahie,Pima Body mass index (uzito wako in kg gawa kwa urefu wako ) check online for the formula hapa nashindwa kuiandika vizuri
kama ur underweight kula carbohydrate na vyakula vya mafuta kwa wingi ,pia achana na stress za ajabu ajabu,take it easy utagain tu...
ila ndo ujihadhari vitambi nk
 

Missing u
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…