Ushauri: Nilikuwa na uhusiano na single mother, sasa kanizalia mtoto, je nimuoe awe mke wa pili?

Ushauri: Nilikuwa na uhusiano na single mother, sasa kanizalia mtoto, je nimuoe awe mke wa pili?

Wadau kama heading inavyoeleza, mimi kuna kipindi nilikuwa na mahusiano na single mother kabla sijaoa, ambaye amefankiwa kunizalia mtoto.

Baadae kidogo nikaoa msichana mdogo ambaye ndo mke wangu wa maisha.

Nimekaa natafakari kuwa huyu single maza namwachaje? Je, nimuoe awe mke mdogo?

Nipo njia panda wadau, ushauri wenu ni muhimu sana.

Karibuni sana wadau.
Mfanye huyo single mom awe dada yako wa hiyari
 
Back
Top Bottom