Nikibebwa mzobe babu si nitakua nimeharibu bora kuandikisha simu asee. Manjagu wenyewe hawaaminiki skuiz wanaweza kukuchuna ngozi na asiwepo wa kujua ulikopotelea. Wananjaa ya wahalifu siwaaminiToa namba nije na askari waliovaa sare tukubebe
Ushauri wa jf 😂😂😂😂Toa namba nije na askari waliovaa sare tukubebe
Ipo wapi hiyo pub nipo hapa buguruni.. ukinijibu nakuja fasta hapo na boda nakuokoa kwa kukulipia na manzi tunang'oa..Natokaje hapa, ndo ushauri ninaohitaji.
Hapa jirani kuna pub mpya imefunguliwa mwezi sasa, kuna pisi za hatari …. kuna hii moja juzi nilikuja ikanichekeachekea leo nilikuja mahsusu kwa ajili ya kuomba namba nikasema nizuge na Valeur ndogo nina buku tano tu. Sa kaleta Viceroy ndogo na nimechungulia menu hapa bei yake ni 10,000.
Sikujua, kanifungulia na nimeshapiga puff zangu kadhaa hapa ndo nashtuka. Serious, nahtaji ushauri wanangu. Sina issue na namba kabisa nishachanganyikiwa, nataka namna ya kutoka tu. Sina kitu kabisa
Haha,Toa namba nije na askari waliovaa sare tukubebe
Viceroy nayo inaishia hapa. Inabdi niagize na maji makubwa nivute mishale. Naombea atokee mwana anaynijua nimuunganishie bill kimasikharaHaha,
Sasa hiyo pesa ya kununua hao askari si umrushie tu maana anayohitaji ni pungufu ya 10k tuu
Kuna dem ukimuona tu moyo unakwambia usinuache hata kama huna hela. Ndo kilichonikuta.Haha,
Sasa hiyo pesa ya kununua hao askari si umrushie tu maana anayohitaji ni pungufu ya 10k tuu.
Halafu, kituo cha polisi unaingia bure ila unatoka na mpunga, na kwa kuwa hana ataozea humo😂
Ila tuwe wakweli, nyeg zinatesa sana vijana. Unaendaje bar na 5k kisa manzi, afu unaagiza na pombe kabisa!! Huyo demu utaweza gharama zake?!!! Maana kuchakata siyo bure
Leo nilikua nataka namba tu,Unaendaje kuomba namba ya mhudumu halafu ni bar na mfukoni una 5K?
Kijana mbona unajitengenezea future ngumu sana?, mfukoni una 5K unataka pombe na mwanamke...
Dk zote hizi ningekuwa nimeshafika hapo.. huna shida wwAcha utani mwanangu, nikupe lipa namba??
Jamaa kakwambia sema uko wapi aje na boda akuokoe bado unarembaSjatoka spider,
Lete mautundu.
Viceroy nailambalamba hapa nimeagizia soda. Mie maji na pombe kali naweza tapika
Leta lipa namba nimwambie dogo akiclearSjatoka spider,
Lete mautundu.
Viceroy nailambalamba hapa nimeagizia soda. Mie maji na pombe kali naweza tapika