nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,903
Habari..
Nimeamua niwe winga wa kuuza vitu online kariakoo.
Yaani mimi niwe napost kwa mitandao kutafuta wateja halafu nauza kwa bei ya Jumla.
Swali langu ni..
1. Je, ni Sehemu ipi kama nikikomaa ninaweza kutoboa (Mavazi , Electronic Equipment,Urembo perfume na Jewelry)?
Na Naombeni Hint za muhimu wakuu.
Nimeamua niwe winga wa kuuza vitu online kariakoo.
Yaani mimi niwe napost kwa mitandao kutafuta wateja halafu nauza kwa bei ya Jumla.
Swali langu ni..
1. Je, ni Sehemu ipi kama nikikomaa ninaweza kutoboa (Mavazi , Electronic Equipment,Urembo perfume na Jewelry)?
Na Naombeni Hint za muhimu wakuu.