MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Nipo Mbeya carnival hapa kaka , mwenyewe nilikuja toka mshahara ulipotoka nimebakiza kakibund kadhaa nataka uje tukamalizie ili mimi nirudi huko Umalila nikalitumikie taifa tena .Hapo itakuwa safi ila nikisema nizimue ndiyo zitaniongezea mawazo maana akili itakuwa ikikumbuka tu kuwa mfukoni nina teni itanipa msongo. Walau ningebaki hata na fifte ingekiwa safi,ila teni aiseeeee duuh! Upo Mbeya maeneo gani mzee
Nikifika hiyo hatua itakuwa safi sana,na kuacha ghafa huwa ni ngumu sijui kwa nini.Tafuta alternative yake, mfano, ukisikia kiu tu, wewe anza kunywa maji kwa lazima, baada ya wiki moja tu, hamu yote ya kunywa itaondoka. Ukiacha ghafla bila mbadala, itakuwa shida. Cha msingi uwe na nia na see it through.
pole sanaWasalaam ndugu zangu, aisee ama kweli pombe sio chai.
Juzi Ijumaa katika mazingira yetu ya kazi wakatuzingatia ile posho ambayo tunayoipataga kila ufikapo mwisho wa mwezi, sasa hizi posho zinazaombatana na weekend sio nzuri kabisa ndugu zangu.
Sasa si nikaenda kulewa! Nimeamka Jumaatatu leo asubuhi mfukoni nina 10,000/= tu na sina salio lingine zaidi ya hii teni! Naombeni ushauri wazee, nasavaivu vipi na hii teni mpaka tarehe za mwishoni mwa mwezi ujao? Maana nimewaza mpaka naanza kunyonyoka nywele na kuilaumu mitungi.
Pia ni kwa namna gani nitaacha mitungi. Hapo naombea gesi isiishe geto maana nilivyoamka asubuhi nikajaribu kutingisha mtungi wa gesi ni mwepesi balaa, ila bado haijaisha lakini itakata tu ndani ya wiki hii.
Naanza kuukumbuka ule wimbo wa msondo ngoma, "Kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa ni taabu tu!"
Wazee nitafika Septemba tarehe kama hizi kwa balance ya 10,000/= mfukoni? Nikisema nitoe buku nikabeti mpira au tatu mzuka si ndio watapita nayo yote? Au niuze simu?
Mitungi sio, aliyegundua na kuitengeneza mitungi atakuwa hana akili fresh, maana inamaliza hela vibaya, akili inarudi wakati ushapukutika mifuko myeupe.
Pia na hizi kampani za hovyo hovyo za mitungi niachane nazo, maana naweza kufa kwa mawazo. Yaani mimi nabaki na teni wakati leo ndiyo kwanza tarehe 28 August? Sasa tarehe 28 September nitafika kweli? Naombeni ushauri niishi nayo vipi hiyo teni.
Maana wanasema ukikwama shirikisha na wengine, ila mitungi sio wazee.
Sasa mkuu pombe si umekunywa mwenyewe ukajisahau,Sasa si nikaenda kulewa!
Naanza kuukumbuka ule wimbo wa msondo ngoma, "Kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa ni taabu sana"
Nikujiendekeza naongea kutoka kwenyeNimekupata vyema sana, ila hakuna anaependa hii hali ni basi tu sijui kwa nini inatokea..
Nikujiendekeza naongea kutoka kwenye uzowefu na usipobadilika tu hii tabia utaendelea nayo utashindwa kuwa hata na familia, maana hiii ni tabiq ya kianafunzi anafunzi inanziaga shule unapewa ada unakula, kwa kuamini chakula kipo nyumbani, ukifika chuo boom likitoka unachezea kwa kujua pesa nikikosa taomba nyumbani, so ukianza na ajira unakuwa na tabiq hiyo hiyo ukipata pesa unachezea unasahau hayo ndio maisha yako unatakiwa utulize kichwaNimekupata vyema sana, ila hakuna anaependa hii hali ni basi tu sijui kwa nini inatokea..
Fanya mpango tuweke kambi tubetiNipo mbeya boss
Nipo Mbeya carnival hapa kaka , mwenyewe nilikuja toka mshahara ulipotoka nimebakiza kakibund kadhaa nataka uje tukamalizie ili mimi nirudi huko Umalila nikalitumikie taifa tena .
Mimi siwazi maana wanakijiji hawawezi kukubali kuona nalala njaa watanisaidia tu , mimi ni kipenzi chao sana .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hahaha sasa tukukaa tena tutasababisha majanga zaidiNipo Mbeya carnival hapa kaka , mwenyewe nilikuja toka mshahara ulipotoka nimebakiza kakibund kadhaa nataka uje tukamalizie ili mimi nirudi huko Umalila nikalitumikie taifa tena .
Mimi siwazi maana wanakijiji hawawezi kukubali kuona nalala njaa watanisaidia tu , mimi ni kipenzi chao sana .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hahaha sasa tukukaa carnival pale tena tutasababisha majanga zaidi. Hapo labda nasoma.Nipo Mbeya carnival hapa kaka , mwenyewe nilikuja toka mshahara ulipotoka nimebakiza kakibund kadhaa nataka uje tukamalizie ili mimi nirudi huko Umalila nikalitumikie taifa tena .
Mimi siwazi maana wanakijiji hawawezi kukubali kuona nalala njaa watanisaidia tu , mimi ni kipenzi chao sana .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Mimi ninachoamini ni kuwa good deals zote upangwa bar hivyo kama tuko serious na lengo la kuweza kujicontrol na mitungi lazima tukae Bar tuzungumze vizuri sana .[emoji846][emoji846]
Hahaha sasa tukukaa tena tutasababisha majanga zaidi
Nimeshapoa ndugu yangu ingawa kila nikiipigia hesabu hii teni mahesabu yanagoma kabisa...pole sana
Tafuta dude fulani linaitwa DUBU fika hapo maeneo waambie wakuelekeze jinsi linavyotema 200 nakuhakikishia ukiingia 200 za 10,000/- unavuma hata 100,000/- nenda kajaribuNimeshapoa ndugu yangu ingawa kila nikiipigia hesabu hii teni mahesabu yanagoma kabisa...
Hiyo 10,000 ungeitumia ku subscribe tu ili uwe unatumiwa vituko na vichekesho.Sasa si nikaenda kulewa! Nimeamka Jumaatatu leo asubuhi mfukoni nina 10,000/= tu na sina salio lingine zaidi ya hii teni! Naombeni ushauri wazee, nasavaivu vipi na hii teni mpaka tarehe za mwishoni mwa mwezi ujao? Maana nimewaza mpaka naanza kunyonyoka nywele na kuilaumu mitungi.
Uanaume siyo kuwa mleviNaanza kuukumbuka ule wimbo wa msondo ngoma, "Kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa ni taabu tu!"
Njoo click point pub nzovwe nikushauri.Nipo mbeya boss