Chief Kumbyambya
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 719
- 2,408
- Thread starter
-
- #41
Aisee ndiyo hivyo hivyo pombe ni mbaya mwanangu ila nitaiacha tu mdogo mdogo maana najua kuiacha gafla bin vuu itakuwa kazi ngumu sana....Njoo click point pub nzovwe nikushauri.
Pombe imeniharibia mengi sana. Yani ni utumwa kupitiliza, unaweza amka asub unaogopa hata kuikagua wallet iliojaa Jana yake , ukiwaza utakachokikuta.
Sasa nikiacha kazi si ndo itakuwa balaa mzee!!!!!!Acha iyo kazi Mkuu
Nipo The Wales..Zaman 40/40 pitia hapa tuunganishe mawazo tumshauri mwanetuNjoo hapa bar Tbt hiyo ten tuipige supu alafu tutakupa mawazo.
Nenda kwenye kausha damu.Wasalaam ndugu zangu, aisee ama kweli pombe sio chai.
Juzi Ijumaa katika mazingira yetu ya kazi wakatuzingatia ile posho ambayo tunayoipataga kila ufikapo mwisho wa mwezi, sasa hizi posho zinazaombatana na weekend sio nzuri kabisa ndugu zangu.
Sasa si nikaenda kulewa! Nimeamka Jumaatatu leo asubuhi mfukoni nina 10,000/= tu na sina salio lingine zaidi ya hii teni! Naombeni ushauri wazee, nasavaivu vipi na hii teni mpaka tarehe za mwishoni mwa mwezi ujao? Maana nimewaza mpaka naanza kunyonyoka nywele na kuilaumu mitungi.
Pia ni kwa namna gani nitaacha mitungi. Hapo naombea gesi isiishe geto maana nilivyoamka asubuhi nikajaribu kutingisha mtungi wa gesi ni mwepesi balaa, ila bado haijaisha lakini itakata tu ndani ya wiki hii.
Naanza kuukumbuka ule wimbo wa msondo ngoma, "Kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa ni taabu tu!"
Wazee nitafika Septemba tarehe kama hizi kwa balance ya 10,000/= mfukoni? Nikisema nitoe buku nikabeti mpira au tatu mzuka si ndio watapita nayo yote? Au niuze simu?
Mitungi sio, aliyegundua na kuitengeneza mitungi atakuwa hana akili fresh, maana inamaliza hela vibaya, akili inarudi wakati ushapukutika mifuko myeupe.
Pia na hizi kampani za hovyo hovyo za mitungi niachane nazo, maana naweza kufa kwa mawazo. Yaani mimi nabaki na teni wakati leo ndiyo kwanza tarehe 28 August? Sasa tarehe 28 September nitafika kweli? Naombeni ushauri niishi nayo vipi hiyo teni.
Maana wanasema ukikwama shirikisha na wengine, ila mitungi sio wazee.
Rafiki seriously hauhitaji kuwa rafiki yangu cause sioni Pm yako wala response yakoSasa nikiacha kazi si ndo itakuwa balaa mzee!!!!!!
Imalizie ubakie zero ndio akili itakuja.Wasalaam ndugu zangu, aisee ama kweli pombe sio chai.
Juzi Ijumaa katika mazingira yetu ya kazi wakatuzingatia ile posho ambayo tunayoipataga kila ufikapo mwisho wa mwezi, sasa hizi posho zinazaombatana na weekend sio nzuri kabisa ndugu zangu.
Sasa si nikaenda kulewa! Nimeamka Jumaatatu leo asubuhi mfukoni nina 10,000/= tu na sina salio lingine zaidi ya hii teni! Naombeni ushauri wazee, nasavaivu vipi na hii teni mpaka tarehe za mwishoni mwa mwezi ujao? Maana nimewaza mpaka naanza kunyonyoka nywele na kuilaumu mitungi.
Pia ni kwa namna gani nitaacha mitungi. Hapo naombea gesi isiishe geto maana nilivyoamka asubuhi nikajaribu kutingisha mtungi wa gesi ni mwepesi balaa, ila bado haijaisha lakini itakata tu ndani ya wiki hii.
Naanza kuukumbuka ule wimbo wa msondo ngoma, "Kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa ni taabu tu!"
Wazee nitafika Septemba tarehe kama hizi kwa balance ya 10,000/= mfukoni? Nikisema nitoe buku nikabeti mpira au tatu mzuka si ndio watapita nayo yote? Au niuze simu?
Mitungi sio, aliyegundua na kuitengeneza mitungi atakuwa hana akili fresh, maana inamaliza hela vibaya, akili inarudi wakati ushapukutika mifuko myeupe.
Pia na hizi kampani za hovyo hovyo za mitungi niachane nazo, maana naweza kufa kwa mawazo. Yaani mimi nabaki na teni wakati leo ndiyo kwanza tarehe 28 August? Sasa tarehe 28 September nitafika kweli? Naombeni ushauri niishi nayo vipi hiyo teni.
Maana wanasema ukikwama shirikisha na wengine, ila mitungi sio wazee.
Nimekutext pm hapo mwananguRafiki seriously hauhitaji kuwa rafiki yangu cause sioni Pm yako wala response yako
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Utapata nidhamu ya pesa Mkuu, hautatoka kapa ππSasa nikiacha kazi si ndo itakuwa balaa mzee!!!!!!
Naona wewe pombe bado haijaisha kichwan Chief. La msingi na hiyo tena kapige k vant kabisa ili upate majibu ya jumla.Wasalaam ndugu zangu, aisee ama kweli pombe sio chai.
Juzi Ijumaa katika mazingira yetu ya kazi wakatuzingatia ile posho ambayo tunayoipataga kila ufikapo mwisho wa mwezi, sasa hizi posho zinazaombatana na weekend sio nzuri kabisa ndugu zangu.
Sasa si nikaenda kulewa! Nimeamka Jumaatatu leo asubuhi mfukoni nina 10,000/= tu na sina salio lingine zaidi ya hii teni! Naombeni ushauri wazee, nasavaivu vipi na hii teni mpaka tarehe za mwishoni mwa mwezi ujao? Maana nimewaza mpaka naanza kunyonyoka nywele na kuilaumu mitungi.
Pia ni kwa namna gani nitaacha mitungi. Hapo naombea gesi isiishe geto maana nilivyoamka asubuhi nikajaribu kutingisha mtungi wa gesi ni mwepesi balaa, ila bado haijaisha lakini itakata tu ndani ya wiki hii.
Naanza kuukumbuka ule wimbo wa msondo ngoma, "Kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa ni taabu tu!"
Wazee nitafika Septemba tarehe kama hizi kwa balance ya 10,000/= mfukoni? Nikisema nitoe buku nikabeti mpira au tatu mzuka si ndio watapita nayo yote? Au niuze simu?
Mitungi sio, aliyegundua na kuitengeneza mitungi atakuwa hana akili fresh, maana inamaliza hela vibaya, akili inarudi wakati ushapukutika mifuko myeupe.
Pia na hizi kampani za hovyo hovyo za mitungi niachane nazo, maana naweza kufa kwa mawazo. Yaani mimi nabaki na teni wakati leo ndiyo kwanza tarehe 28 August? Sasa tarehe 28 September nitafika kweli? Naombeni ushauri niishi nayo vipi hiyo teni.
Maana wanasema ukikwama shirikisha na wengine, ila mitungi sio wazee.
Hapo ndo umeharibu gesi haisemwi hovyo hovyo πππHapo naombea gesi isiishe geto maana nilivyoamka asubuhi nikajaribu kutingisha mtungi wa gesi ni mwepesi balaa, ila bado haijaisha lakini itakata tu ndani ya wiki hii.
Wasalaam ndugu zangu, aisee ama kweli pombe sio chai.
Juzi Ijumaa katika mazingira yetu ya kazi wakatuzingatia ile posho ambayo tunayoipataga kila ufikapo mwisho wa mwezi, sasa hizi posho zinazaombatana na weekend sio nzuri kabisa ndugu zangu.
Sasa si nikaenda kulewa! Nimeamka Jumaatatu leo asubuhi mfukoni nina 10,000/= tu na sina salio lingine zaidi ya hii teni! Naombeni ushauri wazee, nasavaivu vipi na hii teni mpaka tarehe za mwishoni mwa mwezi ujao? Maana nimewaza mpaka naanza kunyonyoka nywele na kuilaumu mitungi.
Pia ni kwa namna gani nitaacha mitungi. Hapo naombea gesi isiishe geto maana nilivyoamka asubuhi nikajaribu kutingisha mtungi wa gesi ni mwepesi balaa, ila bado haijaisha lakini itakata tu ndani ya wiki hii.
Naanza kuukumbuka ule wimbo wa msondo ngoma, "Kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa ni taabu tu!"
Wazee nitafika Septemba tarehe kama hizi kwa balance ya 10,000/= mfukoni? Nikisema nitoe buku nikabeti mpira au tatu mzuka si ndio watapita nayo yote? Au niuze simu?
Mitungi sio, aliyegundua na kuitengeneza mitungi atakuwa hana akili fresh, maana inamaliza hela vibaya, akili inarudi wakati ushapukutika mifuko myeupe.
Pia na hizi kampani za hovyo hovyo za mitungi niachane nazo, maana naweza kufa kwa mawazo. Yaani mimi nabaki na teni wakati leo ndiyo kwanza tarehe 28 August? Sasa tarehe 28 September nitafika kweli? Naombeni ushauri niishi nayo vipi hiyo teni.
Maana wanasema ukikwama shirikisha na wengine, ila mitungi sio wazee.
Hapa inabidi niuze hii simu hakuna namnaKakope bank utoboe mwezi si una mshahara
Nimepata wazo kama hili ngoja nilifanyie kaziUza hyo smart wewe mtoto wa kiume.
Aisee kwa jinsi mtungi ulivyo mwepesi sijui kama hii wiki itaisha bila kukata gesiHapo ndo umeharibu gesi haisemwi hovyo hovyo πππ