Ushauri: Nimebaki na Tsh. 10,000/- tu baada ya kupokea mshahara, nifanyaje?

Njoo click point pub nzovwe nikushauri.

Pombe imeniharibia mengi sana. Yani ni utumwa kupitiliza, unaweza amka asub unaogopa hata kuikagua wallet iliojaa Jana yake , ukiwaza utakachokikuta.
Aisee ndiyo hivyo hivyo pombe ni mbaya mwanangu ila nitaiacha tu mdogo mdogo maana najua kuiacha gafla bin vuu itakuwa kazi ngumu sana....
 
Nenda kwenye kausha damu.
 
Imalizie ubakie zero ndio akili itakuja.

Mwisho nenda kajifanye afisa usalama unafuatilia mtandao wa wapiga Dili alisema Rais Mbeya,watakuhonga pesa fasta unapotea.
 
Naona wewe pombe bado haijaisha kichwan Chief. La msingi na hiyo tena kapige k vant kabisa ili upate majibu ya jumla.
 
Hizi ni dalili za kuelekea kushikishwa ukuta. Sasa hiyo elfu 10 utaibudget vipi, labda kila siku uwe unatumia 300/=
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…