Ushauri: Nimefanyiwa sperm analysis ikagundulika siwezi kumpa m/mke ujauzito

Ushauri: Nimefanyiwa sperm analysis ikagundulika siwezi kumpa m/mke ujauzito

Unaweza fanya In Vitro fertilization, inachukuliwa Sperm moja yenye Quality anawekewa wife wako
 
Mkuu, mimi nafikiri Daktari kwa uzoefu wake anaweza kujua ni kitu gani kinasababisha mophology ya sperms zako zionekane ndio sivyo, kwa nchi za wenzetu walioendelea wangeweza kuchagua sperms ambazo zinaonekana mophology zako ziko sahihi/balabala i.e zenye kichwa na mkia wakazi changanya na yai la mkeo kwenye test tube ili fertilization ifanyike kwenye test tube katika mazingira sahihi, wakisha hakikisha kwamba hilo limefanyika bila matatizo litakalo fuata ni kuhamishia kiumbe kwenye tumbo la uzazi la mkeo.

Usije ukadanganyika kwamba lishe ya aina fulani inaweza kurekebisha mambo, hilo mimi siamini - tatizo lipo kwenze korodani zako hazitengenezi vizuri sperms zako, labda unaweka laptop kwenye mapaja yako kwa muda mrefu (utani-lakini kuna kaukweli ndani yake).

Hilo likishindikana nenda Nigeria kamuone Nabii Joshua akuombee kwa Mungu, mimi ni mtu hasiye amani vitu kirahisi rahisi lakini jamaa huyu namkubali sana, ana wito husio wa kawaida, hata wanawake walio ondolewa fallopian tubes zao zote ana uwezo wa kuwaombea wakaweza kupata mimba tena! Ni ajabu na kweli.
Mbona alimwombea lowasa apate urais na akaangukia pua??
 
Mbona alimwombea lowasa apate urais na akaangukia pua??

Wewe uliwahi kumsikia wapi Lowassa akiwatangazia Watanzania kwamba Nabii Joshua amemtabilia kwamba atashinda kiti cha Urais?

Sisi watanzania tunapenda sana kutunga stori za Uongo na kweli, juzi juzi hapa watu walimzuria mama mwenye matatizo ya akili kwamba alikuwa amefungiwa ndani na tajiri mmoja huko Kimala akitumika kama msukule, kumbe habari zenyewe hazikuwa na ukweli wowote!!
 
Wakubwa najua humu ndani wapo matabibu wanaweza kunisaidia leo nilifanyiwa sperm analysis nikapata majibu yafuatayo.

Sperm mophology imeonekana baadhi ya shahawa kwa kiwango kukubwa zimeonekana zina umbo ambalo si sahihi hazina mkia wala kichwa.

Spem viscocity haipo sawa hazivutiki, sperm color ni yellow dk kanambia kwa matokeo hayo ni ngumu kumpa mwanamke mimba .

Kanambia nirudu kesho ula kabla sijarudi.

Naomba JF doctor mniambie je, naweza kurudisha sperm quality yangu namimi nipate family au ndo siwezi tena.

Msaads tafaadhali.
Pole sana brother...
jitahidi kufanya mazoezi hasa jogging asubuhi,kunywa maji kwa wingi,matunda kama matikiti maji kwa sana hasa wakati ukiwa na njaa yatakusaidia..,ukipata maboga zile mbegu zake unachemsha /au unakaanga na kuzila huimarisha sana sperms.

kingine ukiweza tengeneza juice ya ukwaju uchanganye na kitunguu swaumu na uwe unakunywa kama dozi asubuhi na jioni angalau kwa wiki moja..mambo yakoyatakaa vizuri tu.
Mwisho kabisa baada ya kuzingatia sana lishe na mazoezi....kazana na maombi Mungu atakusaidia.
 
Th
Pole sana brother...
jitahidi kufanya mazoezi hasa jogging asubuhi,kunywa maji kwa wingi,matunda kama matikiti maji kwa sana hasa wakati ukiwa na njaa yatakusaidia..,ukipata maboga zile mbegu zake unachemsha /au unakaanga na kuzila huimarisha sana sperms.

kingine ukiweza tengeneza juice ya ukwaju uchanganye na kitunguu swaumu na uwe unakunywa kama dozi asubuhi na jioni angalau kwa wiki moja..mambo yakoyatakaa vizuri tu.
Mwisho kabisa baada ya kuzingatia sana lishe na mazoezi....kazana na maombi Mungu atakusaidia.
Thanx sana
 
Jaribu kufanya vipimo hospitali tofauti kama 3 isijekuwa jamaa wanataka kutumia shida yako kutengeneza pesa kwa kukujaza hofu kwanza ndio wakwambie tatizo lako linatibika ila ni gharama kubwa.
 
Mimi pia yamenikuta ila nimeanza dozi.
 
janjab;pole sana ndugu,jaribu kwanza kipimo IVF,na hicho kipimo kinapatikana Nairobi tu,kwa hapa bongo sidhani kwa kweli,pale ndo unaweza kupata jibu is tatizo lako,
 
Doz hiyo ipoje mkuu? Precautions gani tunashauriwa kuchukua b4 tatizo halijafika?
 
wasiliana na washauri hawa wanavirutubisho vizuri vitakavyokusaidia kurudisha sperm count na umbo lake
0758768855

unaushahidi wowote juu ya matibabu yao .jee hao wana hospital au vip?
 
Back
Top Bottom